Taulo la Ivo lawaponza Ngasa, Kavumbagu
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imewaadhibu wachezaji wa Yanga, Mrisho Ngasa na Mrundi Didier Kavumbagu, kutokana na imani za kishirikisha katika mechi dhidi ya Simba iliyopigwa Uwanja wa Taifa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Taulo la Ivo laiamsha TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limelaani tukio la shabiki kuingia uwanjani na kupora taulo la mlinda mlango wa Simba, Ivo Mapunda na kutokomea nalo kabla ya kukamatwa, huku likiahidi kuzungumza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5GVb18Ygrbf8CSvCBNHa3if4QYwjDLxI84zMCxBFy2PvyvAk1lJWAyeJbd3NNDSfM0jlQBFB0OIAB0ZxgAyDPI/TAULO.gif?width=640)
Taulo la Ivo Mapunda marufuku golini
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kocha Al Ahly awahofia Kiiza, Ngasa, Kavumbagu, Okwi
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
'Taulo Kenya zina ukimwi',asema mhubiri
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2_GbI-tUvw/XnC6-Xw_MlI/AAAAAAALkF0/XtLQ7bzFIqMDTTKhPPsE_sBU5pVQgycUACLcBGAsYHQ/s72-c/kairuki.png)
Waziri Kairuki Agawa Taulo za Kike kwa Wanafunzi Same
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.
Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q3zoqSWNmwg/XmB-QT5AisI/AAAAAAALhG8/U4287njUmn0v8unmWo_YMaK0Bb5cgsEdgCLcBGAsYHQ/s72-c/c9154ec6-3537-4b73-9860-0700d23ff93b.jpg)
INSPIRATIONAL WOMEN GROUP NA WADAU MBALIMBALI WATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE MKULIMA SEKONDARI
ASASI ya kijamii ya Inspirational women Group wametoa msaada wa taulo za kike kwa kushirikiana na shirika la msalaba mwekundu Tanzania (red Cross)na wadau mbalimbali kwa wanafunzi wa kike 150 wa sekondari ya Wakulima iliyopo Mkoani Kigoma katika Manispaa ya Kigoma ujiji.
Akitoa mada juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike Mwenyekiti wa women inspirational Aisha John kabla ya kugawa taulo hizo alisema kuwa mtoto wa kike anapokuwa kwenye hedhi anatakiwa awe na amani muda...
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
![](http://api.ning.com/files/VFUL0Af-KhryUnOnw60F8fOoSU0ml0IR*ChreIeXLsU33CLcd4dk9-XJzIqf8uI505urdtGDMlQU3lfKh0uFFOtubdWWThwB/ngasa7.jpg)
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Ngasa amkera kocha Stars
WAKATI msafara wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ukitarajiwa kurejea nchini kesho ukitokea kambini nchini Botswana, kuna habari kuwa Kocha Mart Nooij, amemtema mshambuliaji Mrisho Ngasa kwa utovu...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Yanga kumlipia Ngasa deni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngassa-11Feb2015.jpg)
Ngasa alilazimika kukopa fedha benki baada ya kuamriwa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kuilipa Simba Sh. milioni 45 alizochukua ili ajiunge nayo lakini akaikacha na kutua Yanga. Kamati hiyo pia ilimfungia mechi sita za awali za Ligi Kuu ya Tanzania Bara...