Taulo la Ivo laiamsha TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limelaani tukio la shabiki kuingia uwanjani na kupora taulo la mlinda mlango wa Simba, Ivo Mapunda na kutokomea nalo kabla ya kukamatwa, huku likiahidi kuzungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5GVb18Ygrbf8CSvCBNHa3if4QYwjDLxI84zMCxBFy2PvyvAk1lJWAyeJbd3NNDSfM0jlQBFB0OIAB0ZxgAyDPI/TAULO.gif?width=640)
Taulo la Ivo Mapunda marufuku golini
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Taulo la Ivo lawaponza Ngasa, Kavumbagu
BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imewaadhibu wachezaji wa Yanga, Mrisho Ngasa na Mrundi Didier Kavumbagu, kutokana na imani za kishirikisha katika mechi dhidi ya Simba iliyopigwa Uwanja wa Taifa...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
'Taulo Kenya zina ukimwi',asema mhubiri
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2_GbI-tUvw/XnC6-Xw_MlI/AAAAAAALkF0/XtLQ7bzFIqMDTTKhPPsE_sBU5pVQgycUACLcBGAsYHQ/s72-c/kairuki.png)
Waziri Kairuki Agawa Taulo za Kike kwa Wanafunzi Same
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.
Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q3zoqSWNmwg/XmB-QT5AisI/AAAAAAALhG8/U4287njUmn0v8unmWo_YMaK0Bb5cgsEdgCLcBGAsYHQ/s72-c/c9154ec6-3537-4b73-9860-0700d23ff93b.jpg)
INSPIRATIONAL WOMEN GROUP NA WADAU MBALIMBALI WATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE MKULIMA SEKONDARI
ASASI ya kijamii ya Inspirational women Group wametoa msaada wa taulo za kike kwa kushirikiana na shirika la msalaba mwekundu Tanzania (red Cross)na wadau mbalimbali kwa wanafunzi wa kike 150 wa sekondari ya Wakulima iliyopo Mkoani Kigoma katika Manispaa ya Kigoma ujiji.
Akitoa mada juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike Mwenyekiti wa women inspirational Aisha John kabla ya kugawa taulo hizo alisema kuwa mtoto wa kike anapokuwa kwenye hedhi anatakiwa awe na amani muda...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Ivo aishangaa Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Ivo amfunika Casillas Simba
![Kipa wa Simba, Ivo Mapunda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IVO-MAPUNDA.jpg)
Kipa wa Simba, Ivo Mapunda
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.
Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.
Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Simba ‘yamvua nguo’ Ivo
![Kipa wa Simba, Ivo Mapunda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/IVO-MAPUNDA-300x196.jpg)
IVO MAPUNDA
NA MWANDISHI WETU
ALIYEKUWA kipa wa timu ya Simba, Ivo Mapunda, amegeuziwa kibao na uongozi wa timu hiyo baada ya kuambiwa arudishe sehemu ya kitita cha fedha alichopewa kwa ajili ya kusaini mkataba mpya.
Ijumaa iliyopita gazeti hili liliripoti kuwa uongozi wa timu hiyo umesitisha mpango wa kumwongezea mkataba kipa
huyo kwa mizengwe, ikidaiwa hawana imani naye tena, licha ya awali kufanya naye mazungumzo na ikadaiwa alitanguliziwa kitita cha Sh milioni 10 kama...