Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taulo la Ivo laiamsha TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limelaani tukio la shabiki kuingia uwanjani na kupora taulo la mlinda mlango wa Simba, Ivo Mapunda na kutokomea nalo kabla ya kukamatwa, huku likiahidi kuzungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Taulo la Ivo Mapunda marufuku golini

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda. Lucy Mgina na Sweetbert Lukonge
TABIA ya kipa wa Simba, Ivo Mapunda kutundika taulo katika nyavu za golini sasa inaelekea kufikia ukomo kwa kuwa licha ya waamuzi kadhaa kumkataza kufanya hivyo wakati wa mechi, mwamuzi mwingine wa kimataifa ameliambia gazeti hili kuwa ni marufuku kutundika taulo golini. Ivo amekuwa na kawaida ya kutundika taulo kwenye nyavu kisha kuendelea na mchezo, lakini kwenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taulo la Ivo lawaponza Ngasa, Kavumbagu

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imewaadhibu wachezaji wa Yanga, Mrisho Ngasa na Mrundi Didier Kavumbagu, kutokana na imani za kishirikisha katika mechi dhidi ya Simba iliyopigwa Uwanja wa Taifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Taulo Kenya zina ukimwi',asema mhubiri

Kituo cha muhubiri Pat Robertson kiliomba radhi kwa kauli yake potovu kwamba wasafiri wanaokwenda Kenya wanaweza kupata HIV kutoka kwa taulo.

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Kairuki Agawa Taulo za Kike kwa Wanafunzi Same

Na Vero Ignatus,Killimanjaro.

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Uwekezaji ,Angellah Kairuki amegawa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Makanye iliyoko wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro lengo ikiwa ni kuwasaidia watoto wa kike wanaotoka kwenye kaya zenye uhitaji waweze kupata msaada huo.

Akikabidhi taulo hizo ,Kairuki amepongeza juhudi za serikali za kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote bila kubagua jambo ambalo litawawezesha watoto wa...

 

5 years ago

Michuzi

INSPIRATIONAL WOMEN GROUP NA WADAU MBALIMBALI WATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE MKULIMA SEKONDARI

Editha Karlo,Kigoma.
ASASI ya kijamii ya Inspirational women Group wametoa msaada wa taulo za kike kwa kushirikiana na shirika la msalaba mwekundu Tanzania (red Cross)na wadau mbalimbali kwa wanafunzi wa kike 150 wa sekondari ya Wakulima iliyopo Mkoani Kigoma katika Manispaa ya Kigoma ujiji.

Akitoa mada juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike Mwenyekiti wa women inspirational Aisha John kabla ya kugawa taulo hizo alisema kuwa mtoto wa kike anapokuwa kwenye hedhi anatakiwa awe na amani muda...

 

11 years ago

Mwananchi

Ivo aishangaa Yanga

Kipa namba moja wa Simba, Ivo Mapunda amesema kitendo cha watani zao Yanga kuamini ushirikina ndani ya uwanja ipo siku kitawagharimu.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...

 

11 years ago

Mtanzania

Ivo amfunika Casillas Simba

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MAKIPA wa timu ya Simba, Ivo Mapunda na Hussein Shariff ‘Casillas’, juzi wameoneshana umwamba wa kupangua mashuti yaliyokuwa yakipigwa na wachezaji wengine wa timu hiyo, huku Ivo akimfunika Casillas.

Makipa hao wanaoneshana umwamba ili kila mmoja kuipata nafasi ya kuwa kipa namba moja kwenye kikosi cha kocha, Zdravko Logarusic ‘Loga’raia wa Croatia aliyesaini mkataba wa mwaka mmoja Jumanne iliyopita.

Ivo alimfunika kipa huyo baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Simba ‘yamvua nguo’ Ivo

Kipa wa Simba, Ivo Mapunda

IVO MAPUNDA

NA MWANDISHI WETU

ALIYEKUWA kipa wa timu ya Simba, Ivo Mapunda, amegeuziwa kibao na uongozi wa timu hiyo baada ya kuambiwa arudishe sehemu ya kitita cha fedha alichopewa kwa ajili ya kusaini mkataba mpya.

Ijumaa iliyopita gazeti hili liliripoti kuwa uongozi wa timu hiyo umesitisha mpango wa kumwongezea mkataba kipa

huyo kwa mizengwe, ikidaiwa hawana imani naye tena, licha ya awali kufanya naye mazungumzo na ikadaiwa alitanguliziwa kitita cha Sh milioni 10 kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani