Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBF, viko wapi viwanja 10 mlivyoahidi kujenga?

Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam inaendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa ikiwa na ushindani mkubwa kutokana na udhamini wa Azam TV.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YAOMBWA KUJENGA VIWANJA VYA VOLLEBALL

Timu ya mpira wa wavu Mbozi akiwa katika picha kabla ya kupambana na wenzao MUst Mbeya. (picha zote na denis mlowe).
Na Denis Mlowe, Iringa
Makamu Mwenyekiti wa Idara ya michezo ya Halmashauri ya Manispaa Iringa, Kalulu Nsumba ameiomba Serekali pamoja na wadau wa Michezo kusaidia upatikanaji wa vifaa vya mchezo na viwanja bora  ili waweze kuuendeleza mchezo wa Volleball.   Nsumba ameyasema hayo katika Bonanza la Mchezo huo lililoandaliwa na na Iringa Manispaa Sport Club lilofanyika kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Lukuvi: NHC ipatiwe viwanja vya kujenga nyumba nafuu

Waziri wa wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka halmashauri kote nchini kutenga maeneo ya viwanja ili Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) liweze kujenga nyumba bora na za gharama nafuu zitakazouzwa kwa wananchi.

 

10 years ago

Mtanzania

Kura ya maoni, uchaguzi mkuu viko njia panda

Jaji LubuvaNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
KUTOKANA na kusuasua kwa uandikishaji wapigakura katika daftari la kudumu, baadhi ya wadau wamekuwa wakisema kuna uwezekano mkubwa Uchaguzi Mkuu ukasogezwa mbele kama ilivyofanyika kwa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, amelieleza gazeti hili jana kuwa Uchaguzi Mkuu hautasogezwa mbele bali utafanyika kwa mujibu wa Katiba Oktoba, mwaka huu.
Alisema kufikia muda huo uandikishaji...

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

10 years ago

Bongo5

Wewe ni mwanamuziki au msanii? Vitu vinavyoua muziki na sanaa yako viko hapa

Kuwa mjinga katika ufanyaji wako wa mambo Wewe kama ni msanii umekuwa ukifikiri watu wanapenda kuchelewa kwako kufika kwenye show ambayo umealikwa, unapoteza thamani ya kazi yako.Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba watu wanataka kukuona kwa wakati uliotajwa, na wanategemea uimbe kwa kiwango cha juu bila kuwafanyia ujinga au kuimba na kufanya show chini ya viwango. […]

 

11 years ago

TheCitizen

Let’s help TBF make EA tourney a success

It is only eight days to this year’s East Africa Inter-Cities Basketball Championship at the National Indoor Stadium in Dar es Salaam, yet very little appears to have been done on the ground.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi TBF waingia dosari

WAKATI Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF), likitangaza kufanyika kwa uchaguzi wake mkuu Desemba 28 mwaka huu mjini Dodoma, makocha wa mchezo huo wameibuka na kuliomba Baraza la Michezo...

 

11 years ago

TheCitizen

NBL to tip off in April, TBF says

National Basketball League (NBL) will tip off in early April in Dodoma, the Tanzania Basketball Federation (TBF) disclosed yesterday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani