TCRA yakutana na watoa huduma
MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) imekutana na watoa huduma za mawasiliano, kuendesha mnada wa manunuzi ya masafa ya mawasiliano na kujadili vigezo vya kuzingatiwa kutoa masafa hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QJAYgEpGXYU/VGHUUZXzjEI/AAAAAAAGwhc/bK0Q5pm2rgI/s72-c/2.jpg)
TCRA yakutana na wamiliki wa Blogs (Bloggers) Tanzania leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-QJAYgEpGXYU/VGHUUZXzjEI/AAAAAAAGwhc/bK0Q5pm2rgI/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vVm9g08jGEo/VGHT_GrhAlI/AAAAAAAGwgM/DhCwzztWMVM/s1600/10.jpg)
10 years ago
MichuziWATOA HUDUMA MKOANI LINDI WAASWA KUCHANGAMKIA MIKOPO INAYOTOLEWA NA NHIF ILI KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UfKGM7m-f5c/VoPanXYwgxI/AAAAAAAIPYY/oK6rN8IRnck/s72-c/IMG_9691.jpg)
VODACOM YAKIDHI VIGEZO VYA UTOAJI WA HUDUMA YA MAWASILIANO-TCRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UfKGM7m-f5c/VoPanXYwgxI/AAAAAAAIPYY/oK6rN8IRnck/s640/IMG_9691.jpg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Vodacom imekidhi vigezo vya utoaji huduma kwa wateja huku makampuni matano yakipigwa adhabu ya sh.milioni 25 kutokana kulaghai wateja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba amesema kuwa...
11 years ago
Habarileo21 Jun
Watoa huduma NHIF kukopeshwa bililioni 10/-
BODI ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), imeidhinisha Sh bilioni 10 kwa ajili ya kuwakopesha watoa huduma ili waweze kupata vifaa tiba na kukarabati maeneo yao ya kutolea huduma.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Watoa huduma DART kupatikana kwa zabuni
WATOA huduma wa mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam watapatikana kwa utaratibu wa kushindanishwa baada ya kutangaza zabuni kwa mujibu wa sheria za nchi. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Watoa huduma za afya wadhibitiwe-Balozi Mchumo
NA KHADIJA MUSSA
SERIKALI imeombwa kuharakisha utaratibu wa kudhibiti gharama za huduma za afya hususan upande wa dawa ili kuwapunguzia mzigo wananchi.
Hatua hiyo inatokana na baadhi ya watoa huduma za afya kupandisha gharama kila kukicha, jambo ambalo limekuwa likilalamikiwa.
Pia, watoa huduma hao wametakiwa kuacha tabia ya kubagua wagonjwa wa kadi na kuthamini wale wanaotoa pesa taslimu.
Mwenyekiti wa bodi ya Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), Balozi Ali Mchumo, alitoa ombi hilo jana alipokuwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-48W6HRM0Hn0/VoqHj_kTkNI/AAAAAAAIQQ0/nR6KHXy6Yys/s72-c/rehani-athumani.jpg)
NHIF YATAMBUA UMUHIMU WA WATOA HUDUMA ZA AFYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-48W6HRM0Hn0/VoqHj_kTkNI/AAAAAAAIQQ0/nR6KHXy6Yys/s640/rehani-athumani.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari, katika ufunguzi wa mkutano wa watoa huduma wa afya uliofanyika leo katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es salaam, Mkurugenzi wa Masoko,Elimu kwa Umma na Utafiti Othuman Rehani (Pichani)amesema kwamba Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya unatambua mchango mkubwa unaotolewa na watoa huduma za afya kwa wanachama...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
EWURA CCC yawapa somo watoa huduma
BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (EWURA CCC), limewataka watoa huduma za nishati na madini kutumia maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kuleta chachu...
11 years ago
Habarileo02 May
NHIF yaonywa mikopo ya dawa kwa watoa huduma
SERIKALI imeuonya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuwa makini na mpango inaotaka kuuanza katika mwaka ujao wa fedha wa kutoa mikopo ya dawa kwa watoa huduma wote waliosajiliwa.