TCRA yawafikisha mahakamani watu watatu Tuhuma za kughushi nyaraka
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imewafikisha kwenye mahakama ya Mwanza watu watatu kwa tuhuma za kughushi nyaraka mbalimbali na kufungua akaunti bandia za benki walizokuwa wakizitumia kuombea fedha kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali nchini.
Kwa mujibu wa mwanasheria mwandamizi mkuu wa TCRA Joannes Karungura, watuhumiwa hao watatu wakitumia laini za simu bandia walifungua akaunti mbili za benki katika benki ya NMB.
Kibarua kigumu kimewakumba washitakiwa hao watatu mapema jana baada ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV15 Jan
TAKUKURU yawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili wa ESCROW.
Na Lilian Mtono.
Dar es Salaam.
Tume ya kupambana na kuzuia rushwa, TAKUKURU kwa mara ya kwanza imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wanaohusishwa na kashfa ya wizi wa zaidi ya shilingi Bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Watuhumiwa hao walifikishwa kwenye mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, ambapo kila mmoja anakabiliwa na shitaka moja la kula rushwa.
Mshitakiwa wa kwanza kupandishwa kizimbani alikuwa ni Bwana Theophilo John Bwakea, ambaye inadaiwa kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sMzwNc2e83utv1JN21itInEmYYaeQoCR3zlo4wuZLmhnboJWNNJaI4MscN-xXk0uTadl96MqyznOgnC7gkaXdU6PyyB1pA0o/BREAKING.gif)
PAPAA MSOFFE AFUTIWA KESI YA MAUAJI, AFUNGULIWA NYINGINE YA KUGHUSHI NYARAKA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s72-c/JESHI%2BLOGO.jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s320/JESHI%2BLOGO.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion iliyopo maeneo ya Ununio, Mbezi Beach wilaya ya kipolisi Kawe mkoa wa kipolisi wa Kinondoni aliyejulikana kwa jina la ANNA D/O MIZINGI, Miaka 48, Mfanyabiashara, Mkazi wa Boko.
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Wawili kortini kwa tuhuma za kughushi
WASHTAKIWA wawili, Salum Mkoko na Mustaph Kantelu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka matano ya kughushi, kutoa taarifa za uongo, matumizi mabaya ya madaraka na kukwepa kulipa kodi.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mahakamani kwa kughushi tovuti feki kutumia majina ya Taasisi na wanasiasa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yKtdb-SwMoU/XsUtyWTIYnI/AAAAAAALq-s/rILfKYLdStURdymjxpfo_Ja6oZbL69KzQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
MWENYEKITI BAVICHA KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KUSAMBAZA NYARAKA, VIDEO ZA NGONO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yKtdb-SwMoU/XsUtyWTIYnI/AAAAAAALq-s/rILfKYLdStURdymjxpfo_Ja6oZbL69KzQCLcBGAsYHQ/s640/images.jpg)
Mchome ambaye ni Mkazi wa Kisaranga wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro na pia ni Katibu wa Chadema wilayani humo, amefikishwa mahakamani hapo leo Mei 20,2020 na kusomewa kesi hiyo namba 77/2020 mbele ya...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Watatu mbaroni kwa tuhuma za mauaji
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu akiwemo mwanamke ambao wote ni wakazi wa Kijiji cha Mkindo wilayani Mvomero mkoani hapa kwa tuhuma za mauaji ya Huruma Naloloi (32) mkazi wa Mikocheni, Kata ya Dakawa kwa kutumia bunduki na kumpora pikipiki yake.
11 years ago
Habarileo24 Jul
Sita mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
WATU sita waliokamatwa na polisi juzi, wakituhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu katika sehemu mbalimbali jijini Arusha, wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya ugaidi na kufadhili ulipuaji mabomu.
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wananchi waua watatu kwa tuhuma za wizi
WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka wameuawa na wananchi wenye hasira kwa tuhuma za kuendesha uporaji kwa kuvunja nyumba za watu na kuiba.