Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEAM YA WASANII WA MABADILIKO WALETA MAFURIKO MTWARA

Msanii Walter Chilambo akiimba katika Tamasha la Wasanii wa Mabadiliko lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mtwara. Lengo la Tamasha hilo ni kuwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 25, 2015.Msanii Mkoloni akiimba katika Tamasha la Wasanii wa Mabadiliko lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Mtwara. Lengo la Tamasha hilo ni kuwahimiza wananchi kujitokeza kupiga kura Oktoba 25, 2015.
Wananchi waliojitokeza katuka Tamasha la Mabadiliko ililofanyika mwishoni mwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NEMC: Mabadiliko ya tabianchi yanachochea ukame, mafuriko

MABADILIKO ya tabianchi sasa ndio tishio kubwa kwa ustawi wa maisha ya binadamu na kwa maendeleo endelevu. Athari zake zimekwishaonekana katika mazingira, afya, upatikanaji wa chakula, utalii, maliasili, miundombinu na...

 

10 years ago

GPL

MTWARA: UBOVU WA MIUNDOMBINU CHANZO CHA MAFURIKO

Na Sijawa Omary/Uwazi
Mtwara Mjini ni miongoni mwa wilaya tano zinazounda Mkoa wa Mtwara uliopo Kusini Mashariki mwa nchi ya Tanzania. Upande wa Kaskazini, Mtwara Mjini inapakana na Mkoa wa Lindi, Mashariki kuna Bahari ya Hindi na Kusini na Magharibi kuna Wilaya ya Mtwara Vijijini. Mheshimiwa Hasnain Mohamed Murji. Pia Mtwara Mjini ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Hasnain Mohamed Murji kwa tiketi ya Chama cha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mafuriko Dar es Salaam ni ushahidi wa athari za mabadiliko ya tabianchi

MAFURIKOHali ya mafuriko kama inavyoonekana eneo la Jangwani  katika kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam, Tanzania.

Mvua zinazoendelea kunyesha nakusababisha mafuriko na hasara kubwa jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini zimetajwa kuwa ni moja ya ushahidi wa udhaifu wa miundombinu ya kweza kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi ambayo ni janga kubwa duniani kwa sasa. Haya yalisemwa na FORUMCC; shirika linalijihusisha na masuala ya mabadiliko ya Tabianchi. Watu zaidi ya 12...

 

10 years ago

Vijimambo

FORUMCC: MAFURIKO DAR ES SALAAM NI USHAHIDI WA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

Mvua zinazoendelea kunyesha nakusababisha mafuriko na hasara kubwa jijini Dar es Salaam na maeneo mengine nchini zimetajwa kuwa ni moja ya ushahidi wa udhaifu wa miundombinu ya kweza kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi ambayo ni janga kubwa duniani kwa sasa. Haya yalisemwa na FORUMCC; shirika linalijihusisha na masuala ya mabadiliko ya Tabianchi.
Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kupoteza maisha mpaka sasa kutokana mafururiko hayo ambayo yameibua hisia na maswali mengi kutoka kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

HOFU YA MAFURIKO: Mtoto mlemavu afungiwa darini miezi minne Mtwara

>Mtoto Abdul Mohamedi (13) ambaye ni mlemavu wa viungo, amelazimika kuishi darini kwa miezi minne mfululizo kukwepa kudhuriwa na mafuriko kutokana  mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Mtwara.

 

10 years ago

Mwananchi

Mafuriko yaikumba Mtwara, nyumba 200 zazingirwa na maji, RC atoa saa 24 yaondolewe

Zaidi ya nyumba 200 zimezingirwa na maji katika Manispaa ya Mtwara Mikindani kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha hasara kubwa ambayo thamani yake bado  haijajulikana.

 

9 years ago

Bongo Movies

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Ray kuhusu yeye kuikimbia Team Mabadiliko?

Huku vuguvuga la uchaguzi likiendelea, leo mwigizaji maarufu nchini Vicenti Kigosi aliyekuwa anaongoza mapambano ya mabadiliko ndani ya UKAWA kabla ya kuhamia CCM ameandika ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake..

“..Kwanza kabisa ningependa kuwaambia wafuata mkumbo mpende kupanua akili zenu na si kupenda kupanua vidole 2.

Nashangazwa sana na wapinzani kusimama mbele ya adhara na kusema kuwa tangia tumepata uhuru miaka 50 iliyopita serikali haijafanya chochote na wewe unashangalia tena...

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba

Mwimbaji na mwandishi mahiri wa nyimbo, Barnaba amewashauri wasanii wenzake kujifunza kutumbuiza muziki wa live wanapokuwa kwenye majukwaa. Barnaba anafahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kutumia vyombo mbalimbali vya muziki na ni miongoni mwa wasanii waliolelewa na kukuzwa na nyumba ya vipaji Tanzania – THT. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Barnaba amesema kutokana […]

 

11 years ago

Michuzi

TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU

Mr. Iddi Sandaly,
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani