TEHAMA : Kama Kenya wameweza, sisi tunashindwaje?
Mwezi huu kulikuwa na habari kutoka Chuo Kikuu Jomo Kenyatta kuhusu uzinduzi wa kompyuta mpakato maarufu kama laptop inayoitwa TAIFA . Laptop hii imeundwa chuoni hapo na kupewa jina hilo huku pembeni ikiwa na bendera ya Kenya .
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Wachina wameweza kudhibiti simu, sisi je?
9 years ago
Bongo526 Oct
Kama unashindana na sisi, unapoteza tu muda — P-Square
9 years ago
Bongo509 Dec
Siku ya Uhuru: Magufuli ni kama sisi tu, aingia mtaani kusafisha mazingira (Picha)
![12345749_1070297212994241_164260733_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12345749_1070297212994241_164260733_n-300x194.jpg)
Rais Dkt John Magufuli hana tofauti na sisi wananchi wa kawaida.
Rais Dkt Magufuli akishiriki kwenye zoezi la kufanya usafi nchi nzima kuadhimisha miaka 54 tangu uhuru wa Tanganyika
Katika kusherehekea siku ya Uhuru, Magufuli na mke wake Mama Janeth wameunga na wananchi nchini kote kusafisha mazingira.
Hapa Usafi Tu
Hatua hiyo imekuja baada ya hivi karibuni kutangaza kuondoa sherehe za kitaifa za Uhuru zilizooleka kufanyika kila mwaka na badala yake siku hii itumike kufanya usafi ili...
9 years ago
Michuzi24 Sep
5 years ago
YkileoKENYA: WAKUU WA TEHAMA WAKUTANA
KWA UFUPI: Wakuu wa vitengo vya TEHAMA wamekutana kujadili changamoto na namna nzuri ya kuzitatua changamoto hizo katika vikao vilivyo kamilika Nchini Kenya.-------------------------------
Watunga sera na sheria mbali mbali wamekua wakifanya maamuzi ya TEHAMA bila kushirikisha wadau wa TEHAMA – Hii imekua moja ya changamoto inayo leta mkinzano wa utendaji wenye manufaa kwa wana TEHAMA maeneo mengi barani Afrika.
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Wafanyakazi wa kipato cha chini Kenya kama kama Esther wahofia
9 years ago
YkileoMKUTANO WA WAKUU WA TEHAMA WAMALIZIKA NCHINI KENYA
Aidha, Nilipata pia kuzindua kampeni ya Mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao na kuweza...
10 years ago
YkileoMKUTANO WA GURU WA TEHAMA WA NCHINI KENYA WAIMIZA KUSHIRIKIANA
Swala uhimu nililo jifunza ni jinsi uhalifu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYoLPtfYEXffJD8eUw3dJfAxBobjxPqcWx8OY5IXOiX4WghkUi467qXxQ9n8nHOe783BU8DWiTfZnyZ33CBJ6Hu5/1.jpg?width=650)
WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO