Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Thomas Karume: Vijana wamesahaulika mikoani

HISTORIA ya Tanzania katika mchezo wa soka kwa timu ya taifa, Taifa Stars, kufikia katika kilele cha mafanikio, ni mwaka 1980, pale ilipofanikiwa kucheza fainali za Kombe la Mataifa Afrika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UHAKIKI WA KAZI ZA VIJANA WALIYOPEWA MASHINE NA NHC WAFANYIKA MIKOANI

New Picture (10)Kikundi cha vijana 40 kiitwacho Wajenzi Isoso Wilayani Kishapu kikiendelea na ufyatuaji matofali ya kufungamana wakati kilipotembelewa na Meneja wa NHC wa Huduma kwa Jamii, Bw. Muungano Saguya kwa nia ya kuhakiki kazi wanazofanya. Halmashauri ya Wilaya hiyo imewapa vijana maeneo ya kufanyia kazi na mtaji wa kufanyia kazi zao. New Picture (11)Kiongozi wa kikundi cha vijana 40 cha Wajenzi Isoso, Wilayani Kishapu akisoma risala kwa Meneja wa NHC wa Huduma kwa Jamii, Bw. Muungano Saguya (wa pili kushoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaume wanaonyanyaswa wamesahaulika Katiba Mpya

WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na mchakato wa kupitia Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya, hakuna sheria inayotaja haki ya mwanamume. Pamoja na Tanzania kuwa nchi inayojali sheria za...

 

5 years ago

Michuzi

KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.



By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. USULI:

Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME,  alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.

Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.

Je, Mwanamapinduzi huyu...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP

Makamu Mwenyekiti wa Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) Ramadhani Khamis Salmin akizungumza wakati wa ufunguzi huu wa michuano ya Kombe la Karume Cup uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar na kushirikisha timu 17 za mchezo huo kwa Zanzibar 6 zikiwa za Wanawake na 11 za Wanaume. Mlezi wa Michuano ya Kombe la Karume Cup Mama Shadya Karume akitowa shukarani zake kwa Chama cha Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) kufanikisha michuano hiyo kwa kipindi chote cha miaka 12 kwa kumuezi Mzee Abeid...

 

10 years ago

TZToday

Habari za Mikoani

Habari za Mikoani

 

10 years ago

GPL

STARA THOMAS AFUMANIWA!

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Risasi
HAYA ni madai mazito! Kwamba, staa wa Bongo Fleva ambaye juzikazti alinusa kwenye gospo ‘ikamshinda', Stara Thomas anadaiwa kufumaniwa na mumewe, Raumu Ally mpaka kufikishana polisi, Risasi Jumamosi halipitwagi na ‘ubuyu’. Staa wa Bongo Fleva, Stara Thomas akiwa na mumewe. Kwa mujibu wa shuhuda wa kuaminika, tukio hili lilijiri hivi karibuni nyumbani kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

ACT kutembelea mikoani

ACTNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kitaanza ziara katika mikoa mbalimbali nchini kuanzia wiki ijayo.
Tangu chama hicho kipate usajili wa kudumu kimekwisha kufanya uchaguzi mkuu ulioambatana na uzinduzi, Machi 28 na 29.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa ACT, Anna Mghwira alisema Kamati Kuu ya chama hicho imeazimia kuanza ziara ya chama katika mikoa ya Ruvuma, Njombe, Iringa, Morogoro, Dodoma,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Thomas Tabane ahofia mapinduzi

Thomas Tabane ahofia kupinduliwa Lesotho.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Mozeh Thomas – Nimebadilika

Mozeh cover

Baada ya kuachia video ya wimbo wake mpya ‘Nimebadilika’ Jumatatu wiki hii, Mozeh Thomas ameachia audio yake. Wimbo huo umetayarishwa na producer Nusder chini ya studio ya Sweseka Production ya Dar es salaam. Mozeh ni msanii anayechipukia kutoka jijini Mwanza.

Mozeh cover

NIMEBADILIKA

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani