TICS WAPANDA MITI KATIKA SHULE YA SEKONDARI KURASINI
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kitengo cha Uhandisi wa Tanzania International Container Terminal Services Ltd (TICS) Cornelius Kwadijk, Mkurugenzi wa Maendeleo, Donald Talawa, Meneja rasilimali watu, Sadick Abdalla na Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kurasini Florentine Assenga wakipanda miti katika shule hiyo jijini Dar es Salaam jana. Miche hiyo 250, mbolea na udongo wa kuistawisha imetolewa na TICS katika kampeni yake yenye kauli mbiu ya GO Green.
Waalimu wa shule ya sekondari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
TICS wapanda miti 250 katika shule ya Sekondari Kurasini katika kampeni ya GO Green!
Waalimu wa shule ya sekondari ya Kurasini wakiwa na viongozi wa TICS kabla ya kuanza zoezi la kupanda miche 250 kwenye eneo la shule hiyo jijini Dar es Salaam jana. Miche hiyo, mbolea na udongo wa kuistawisha imetolewa na TICS katika kampeni yake yenye kauli mbiu ya GO Green.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kitengo cha Uhandisi wa Tanzania International Container Terminal Services Ltd (TICS) Cornelius Kwadijk, Mkurugenzi wa Maendeleo, Donald Talawa, Meneja rasilimali watu, Sadick Abdalla...
10 years ago
VijimamboTICS YAPANDA MITI 250 SHULE YA SEKONDARI KURASINI
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Wanamazingira wapanda miti UDOM
KLABU ya Wanamazingira wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Kitivo cha Elimu kwa kushirikiana na uongozi wa serikali ya wanafunzi, wamepanda miti ya kivuli katika kitivo hicho ambacho kinatumia umwagiliaji...
5 years ago
Michuzi
Taasisi ya Jangwani to Forest Movement yapanda miti 50 katika Shule mbili
Na Chalila Kibuda,Michuzi Globu.
Wanafunzi wakipata elimu ya utuzaji wa Mazingira ni hazina ya taifa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
Hayo aliyasema Mwasisi wa Jangwani to Forest Movement Verdiana Nsongo wakati wa upandaji wa miti katika Shule za Msingi za Msisiri na Kinondoni zilizopo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Amesema kuwa misingi bora ya utunzaji mazingira ni kutoa elimu kwa wanafunzi kuanzia katika maeneo yao shule ambapo wanaoweza kwenda kutoa elimu katika...
5 years ago
Michuzi
VODACOM WAPANDA MITI HOSPITALI YA MLOGANZILA JIJINI DAR ES SALAAM


Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC Wakishiriki zoezi la kupanda miti katika Hospitali ya Muhimbili eneo la Mloganzila jijini Dar es Salaam wakati walipotembelea katika hospitali hiyo kwa ajili ya kuwapa pole wagonjwa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.

11 years ago
Habarileo09 Apr
TBL wapanda miti 1,250 Chuo Kikuu Mount Meru
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Mkoa wa Arusha, wamepanda miti 1,250 katika eneo la Chuo Kikuu cha Mount Meru (MMU) ikiwa ni sehemu ya utunzaji wa mazingira mkoani humo.
10 years ago
MichuziMFUKO WA GEPF WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) KATIKA SHULE YA MSINGI YA MATUMAINI YA JESHI LA WOKOVU ILIYOPO KURASINI
10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI