Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIKO AMGANDA MWANAUME ALIYEMPA KIPIGO

Stori: Gladness Mallya
BAADA ya mwanamuziki Tiko Hassan kupokea kipigo kutoka kwa bwana wake aliyefahamika kwa jina moja la Ally, msanii huyo amesema hawezi kumuacha kwani anampenda. Mwanamuziki Tiko Hassan wakati akiuguza majeraha ya kipigo kutoka kwa bwana wake. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Tiko alisema ni kweli ameumizwa kichwani lakini hawezi kufanya uamuzi wa kumuacha kwa kuwa, anahisi kuna siku atajutia uamuzi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LULU AMGANDA VAN VICKER

Mwandishi Wetu
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kumganda mwigizaji kipenzi wa akina dada wa Ghollywood Movies kutoka nchini Ghana, Van Vicker, Risasi Jumamosi limenyetishiwa. Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa na mwigizaji kipenzi wa akina dada wa Ghollywood Movies kutoka nchini Ghana, Van Vicker. Habari kutoka chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Lulu...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyempa mimba binti kuchapwa viboko

KIJANA wa kiume mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa Kijiji cha Karundi wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa, amenusurika kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumpatia ujauzito msichana mwenye umri wa miaka 16.

 

11 years ago

GPL

ALIYEMPA TUZO 6 DIAMOND PLATNUMZ HUYU HAPA

Prodyuza aliyempatia tuzo sita za Kili staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz ' kwa kutengeneza wimbo wa Number One, Sheddy Clever akiwa ndani ya Global TV Online. Kujua zaidi alichoongea, usikose kuangalia Global TV Online Jumatatu ijayo!

 

10 years ago

Vijimambo

STEVE NYERERE AMGANDA MAMA LUU KIFUANI

Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo.
Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa, lilijiri ndani ya Hoteli ya Landmark jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa kitabu cha Marehemu Steven Kanumba kiitwacho The Great Follen Tree.Awali, waalikwa kwenye sherehe hiyo waliinuka na kwenda kucheza wimbo wa...

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA

  Kibosile  Ivan Ssemwanga akiwa na  ‘Zari’. Makala : Hashim Aziz na mitandao Umaarufu wa msanii wa…

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AMGANDA MAMA LULU KIFUANI

Na Gabriel Ng’osha/Ijumaa
Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere akimbambia mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila. Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa,...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO:Steve Nyerere Amganda Mama Lulu Kifuani!!

Aliye kuwa Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Nyerere hivi karibuni aliibua miguno baada ya kumganda kifuani mama wa msanii Elizabeth Michael, Lucresia Karugila huku akionekana kutotaka kubanduka mwilini mwa mama huyo.

Tukio hilo lililowafanya watu wabaki wakiwa wamepigwa butwaa, lilijiri ndani ya Hoteli ya Landmark jijini Dar kulikokuwa na uzinduzi wa kitabu cha Marehemu Steven Kanumba kiitwacho The Great Follen Tree.

Awali, waalikwa kwenye sherehe hiyo waliinuka na kwenda kucheza wimbo wa...

 

9 years ago

Bongo5

Hutobashiri staa aliyempa Mwana FA idea ya chorus ya ‘Asanteni kwa Kuja’

12298952_951039554970796_1769017982_n

Mwana FA amemtaja mtu aliyemsaidia kumpa idea ya chorus ya wimbo wake mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’

12277548_1032344053484486_847392172_n
Mwana FA akiwa na P-Funk Majani na Hermy B

Mtu huyo si mwingine bali ni P-Funk Majani. “Mimi nilikuwa na jina la wimbo,” FA ameiambia Bongo5.

“Nikaenda na sampling mpaka kwa Hermy, tumekaa nje kwa Sallam meneja wa Diamond, Hermy akatengeneza beat, jamaa wanacheza ile foosball na akina Ambwene, tumekaa mimi na Hermy akatengeneza beat hapo hapo nje. Kwahiyo mimi nikawa nayo, jina la wimbo ninalo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani