Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu ya Barcelona ilipowasili Zanzibar

IMG_0186

Rais wa Heshima wa Timu ya Barcelona Kocha Johan Cruyff, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar alipofika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.

Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha , wakiwa Zanzibar kwa Mualiko wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kutembelea Zanzibar kujionea...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TIMU YA MAGWIJI WA BARCELONA WALIVYOWASILI ZANZIBAR

Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha. Rais wa Heshima wa Timu ya Barcelona Kocha Johan Cruyff, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar alipofika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YAWACHEZAJI WA ZAMANI WA BARCELONA WAWASILI ZANZIBAR

Rais wa Heshima wa Timu ya Barcelona Kocha Johan Cruyff, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar alipofika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.
Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha , wakiwa Zanzibar kwa Mualiko wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, kutembelea Zanzibar kujionea Vivutio...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Jamhiri ilivyoigaragaza timu ya Polisi Zanzibar kwa bao 1-0

Mshambuliaji wa timu ya Jamhuri Samir Said (kushoto) akiwania mpira wa juu na mchezaji wa timu ya Polisi Abdalla Mwalim katika mchezop wa Ligi kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar.Jamhuri ilishinda 1-0. Winga wa timu ya Polisi Mohamed Mohamed (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya Jamhuri Mohid Said katika mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malta Zanzibar uliochezwa kwenye Uwanja wa Aman juzi. Jamhuri ilishinda 1-0. Mshambuliaji wa timu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1

Naibu Waziri akikagua timuNaibu W#aziri akikagua timu
Mashabiki wakiingia uwanjani.Wachezaji wa timu zote wakiingia uwanjani kucheza soka iliyiachezewa uwanja wa Aman anzibar.
Mashabiki wakiingia uwanja wa AmanNaibu Waziri wa Mifugo akisalimiana na marefaMahsahibi wakiwa wakiwauwanjani

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Shein akutana na wachezaji wa zamani wa Timu ya Barcelona Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein akipokabidhiwa Jezi ya Bacelona namba 14 ya mchezaji wa zamani, Johan Cruyff (kushoto)wakati wa hafla fupi ya chakula jioni iliyofanyika leo Ikulu Mjini Zanzibar timu hiyo ilipokutana na Rais.[Picha na Ikulu)

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki wa Barcelona wagomea uzi mpya wa timu yao

Nguvu ya umma haizuiliki. Hivyo, ndivyo unavyoweza kueleza uamuzi wa mashabiki wa klabu ya Barcelona kukataa jezi mpya za klabu hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Gwiji la soka la timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona awasili ncjhini na kuelekea Serengeti

E86A4211

 

Mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,(kulia) akiwa na mdau wa soka wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha soka wilaya ya Hai,Harold Kifunda wakati wa mapokezi ya gwiji wa soka wa timu ya taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na Barcelona.

Dixon Busagaga wa Busagaga’s Orijino Blog akizungumza jambo na mratibu wa ziara ya wachezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona nchini ,Royco Garcia ,uwanja wa ndege wa Kimatifa wa Kilimanjaro ...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani