Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tumieni takataka kutengeneza bidhaa’

Watanzania wametakiwa kutumia takataka zinazozagaa mitaani kutengeneza bidhaa zenye thamani na ubora kibiashara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Kidoti kushirikiana na kampuni ya china kutengeneza nywele na bidhaa nyingine

MWANADADA ambaye ni mwanamitindo, mwanamuziki na mtangazaji, Jokate Mwegelo, jana amesaini makubaliano ya kushirikiana kibiashara  na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya China.

Kampuni hizo mbili zitashirikiana katika kuzalisha  baadhi ya bidhaa kama nywele (wigi) , ndala, sendozi nakadhalika.

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete awataka Wanawake Wajasiriamali kutengeneza bidhaa ambazo soko lake linapatikana kirahisi

unnamed (30)

   Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea wakati wa uzinduzi rasmi Umoja wa vikundi vya Wanawake Mbagala (UWAMBA) katika sherehe iliyofanyika kwenye ukumbi wa Dar Live.

Na Anna Nkinda – Maelezo

Wanawake wajasiriamali nchini wametakiwa kutengeneza bidhaa ambazo zinahitajika kwa wingi na watumiaji na kuacha kung’ang’ania  kutengeneza bidhaa ambazo  soko lake ni dogo.

Mwito  huo umetolewa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete wakati wa uzinduzi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Takataka zawawatisha wakazi Dodoma

NA PENDO MANGALA, DODOMA

WAKAZI wa maeneo ya Chang’ombe na Kizota katika Manispaa ya Dodoma, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kuzagaa kwa takataka karibu na maeneo wanayoishi.
MTANZANIA imebaini kuwapo kwa takataka hizo katika maeneo hayo ambazo zimesababisha mazingira hayo kuwa katika hatari ya kuambukiza magonjwa na kuwa tishio kwa wakazi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.
Mmoja wa wakazi wa Chang’ombe ambaye hakutaka kutajwa jina lake, alisema taka hizo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkaa kutoka kwa takataka Burundi

Mradi mpya wa kutumia takataka kutengeneza mkaa umesifiwa kwa kusaidia kuhifadhi mazingira nchini Burundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Takataka zaweza kuwa chanzo cha kipato

Uzalishaji wa takataka kwenye Miji na Majiji unakwenda sambamba na jitihada za kuzitunza?

 

11 years ago

GPL

DAMPO JIPYA LA KISASA LA KUTUPIA TAKATAKA LINALOJENGWA JIJINI MBEYA

Huu ndiyo muonekano wa dampo hilo la kisasa kwa upande wa juu ambapo ujenzi upo katika hatua za mwishoni.  Hili ni eneo ambapo magari yaliyobeba takataka yatakuwa yanaingia na kumwaga takataka hizo.…

 

5 years ago

Michuzi

DC KATAMBI ALIAGIZA JIJI LA DODOMA KUMALIZA CHANGAMOTO YA TAKATAKA NDANI YA SAA 72


Charles James, Globu ya Jamii

KATIKA kuepukana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa Kipindupindu, Jiji la Dodoma limeagizwa kuchukua hatua za haraka kwa kumaliza changamoto ya uchafu ambayo imekua ikilalamikiwa na wananchi wake.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi leo wakati alipofanya ziara ya kukagua usafi wa mazingira katika mitaa na masoko mbalimbali ya jiji hilo.

Katika ziara yake hiyo, DC Katambi amebaini uwepo wa takataka nyingi kwenye mitaa...

 

5 years ago

Michuzi

DC CHONGOLO AWAONYA WENYE TABIA YA KUTUPA TAKATAKA KATIKA MIFEREJI ILIYOKO BARABARANI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Daniel Godfrey Chongolo ametoa onyo kwa wananchi walioko ndani ya Wilaya hiyo ambao wanatabia ya kutupa takataka katika mitaro ambayo imejengwa katika barabara mbalimbali kwa kutumia fedha nyingi za Serikali.
Akizungumza na Michuzi Blog pamoja na Michuzi TV, katika mahojiano maalum, Chongolo amesema kuwa barabara ambazo zinajengwa imekuwa ikiwekewa mifereji ya kuondosha maji , sasa wananchi wamebadilisha na kuanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani