Tunatarajia CMEA mtafika huku kulinda kazi za sanaa 2016
Zikiwa zimebaki siku tano kuufunga mwaka 2015, wasanii wanahamu ya kuzimaliza hizi siku haraka iwezekanavyo ili wafikie hatua ya kuanza kufaidi matunda ya kazi zao waliyoifanya kwa kipindi kirefu wakipata malipo kiduchu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0412AA-768x513.jpg)
RC Wangabo Awataka Wananchi Kulinda Mipaka Huku 49 Wakiwekwa Karantini Mkoani Rukwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-99fOF03o_Mw/XpCq-ssZ4zI/AAAAAAALmuk/DEe7lYD_-HsjRPhR1ghBGvymi2lPv9btgCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0412AA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0417AA-1024x685.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0381AAA-1024x685.jpg)
Afisa Afya wa Mkoa wa Rukwa Kennedy Kyauke akitoa elimu ya hatua za kunawa mikono kwa...
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
HAPA KAZI TU: Majaliwa aibukia Bandari na kuwatia mbaroni maafisa kadhaa huku Rais akimsimamisha kazi Kamishna TRA!
Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa alipofanya ziara ya ghafla bandarini akisalimiana na uongozi wa TRA na TPA.
WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 80/-.
Akizungumza na viongozi wa Mamlaka ya Bandari pamoja na viongozi wa TRA katika ziara ya kushtukiza leo mchana (Ijumaa, Novemba 27, 2015), Waziri Mkuu amewataka Kamishna...
9 years ago
Bongo Movies27 Nov
Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu- Nisha
MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu na Komedi Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
“Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi...
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Nisha:Nina Kazi Kubwa Kulinda Heshima Yangu
Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ amedai kuwa ana kazi kubwa katika kulinda nafasi yake ya uigizaji bora wa Komedi na ustadi katika kutengeneza kazi zake na ziendelee kuwa bora ili asipotee na kuonekana kama alibahatisha.
Wahenga husema kuwa ni rahisi kupata nafasi ya kwanza, lakini si rahisi kuilinda hivyo name lazima niilinde nafasi yangu niliyoipata mwaka jana baada ya kuipigania kwa muda mrefu katika tasnia ya filamu na nitailinda kwa kufanya kazi bora tu,”anasema Nisha.
Msanii...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4ygZaTC6za8/VTkB_ea2SLI/AAAAAAAHSy4/8hlaDJ1hKec/s72-c/IMG_3483.jpg)
WAKANDARASI WAASWA KULINDA AFYA ZA WAFANYAKAZI MAHALA PA KAZI-OSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4ygZaTC6za8/VTkB_ea2SLI/AAAAAAAHSy4/8hlaDJ1hKec/s1600/IMG_3483.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WtYIDO8aS8U/VTkB-l3CmnI/AAAAAAAHSys/IGfMfwXMPFc/s1600/IMG_3516.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ocF_otqGgR4/VTkCBRwLgII/AAAAAAAHSzM/QMJ7Ka5tf-s/s1600/IMG_3548.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Serikali yatoa ufafanuzi udhibiti, ulinzi na wizi wa kazi za sanaa
Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo imesema bodi ya filamu imeendelea kuwaelimisha wasanii kuhusu kusajili kazi zao ili ziweze kutambuliwa na kupata udhibiti na ulinzi wa kazi za sanaa, kwa mujibu wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia Wambura, akiwa bungeni, mjini Dodoma.
“Kuhusu haki miliki Mheshimiwa Spika, wizara yangu kupitia Bodi ya Filamu,COSOTA na BASATA zimeendelea kuwaelimisha wasanii wa fani mbalimbali kusajili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASATA YAMFUNGIA SHILOLE MWAKA MMOJA KUJIUSHISHA NA KAZI ZA SANAA
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
MODEWJIBLOG: Watanzania tuache kufanya kazi kwa Mazoea, Rais Dk.Magufuli tembelea na huku!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli alipotembelea kwa mara ya kwanza Wizara ya Fedha, safari ambayo ilikuwa ni ya ghafla.
Na. Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Kwa sasa kila zungumzo la Mtanzania ni juu ya safari za kushtukiza za Rais wa awamu ya tano, Mh. Rais Dk. John Pombe Magufuli ambaye ameacha gumzo kwa kuanza kwa kishindo na dhana yake ya ‘Hapa Kazi Tu’!.. Kwa kutuonjesha tu, ametembelea Wizara ya Fedha safari ya kushtukiza na kuamsha hali ya utendaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s72-c/Untitled%252C.png)
NEWS ALERT: SHILOLE AFUNGIWA KUJISHUGHULISHA NA KAZI ZA SANAA KWA MUDA WA MWAKA MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wjj6s503Kv8/Vbs_e0WPR8I/AAAAAAAHs7I/KZ6V_7OEdOM/s640/Untitled%252C.png)
Itakumbukwa kuwa mnamo tarehe 09/05/2015 akiwa katika onyesho lake la Muziki nchini Ubelgiji alikiuka maadili ya kazi ya sanaa mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania na hivyo akadhalilisha utu wake na jamii ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10