‘Tusihusishe urais 2015 na kero za wananchi’
WANASIASA wanaokusudia kuwania nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwakani, wametahadharishwa kutohusisha malalamiko na kero mbalimbali za wananchi na masuala ya urais, badala yake watafute mbinu za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
‘Kero za wananchi zisihusishwe na urais’
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mnyika kusikiliza kero za wananchi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m2dop3vQlLkNCQjnSdYVJL1*mzK*DnmG2zjgarnd7DOYqG0sMNquynSg2hccwHbWZ*EcZf1Bcqv2*mFaV8dFhC4O8c8*BpSs/WilliamNgeleja.jpg?width=650)
KERO YA MAJI INAVYOWATESA WANANCHI SENGEREMA
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Barabara Bunda kero kwa wananchi
ABIRIA wanaopita kwenye barabara ya Bunda-Ukerewe, wamelalamikia ubovu wa barabara hiyo na kuiomba serikali kuwaondolea kero hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakiwemo madereva wa magari ya abiria pamoja na mizigo,...
10 years ago
GPLMVUA YASABABISHA KERO KWA WANANCHI DAR
9 years ago
StarTV01 Dec
Madiwani Iringa wahimizwa kutatua kero za wananchi
Baraza jipya la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Iringa limezinduliwa rasmi huku madiwani hao wakitarajiwa kuanza mara moja kukabiliana na changamoto ya njaa inayoikabili wilaya hiyo.
Zaidi ya watu 70,000 wanakabiliwa na Baa la njaa katika vijiji 43 vya kata tisa katika wilaya hiyo huku Tarafa ya Isimani ikiwa imeathirika zaidi.
Mh.Ponsiano Kayage, mmoja wa madiwani 40 wa halmashauri hiyo wakati akiapa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Iringa katika Mkutano maalum...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-kH6aokJNk5If*V0icqDK7lyzLGXfP5*-UTv1fWCIO5epaMJji1WChXXidF3r6YYmNQAfmuCUlB5aRwsArTDSjA/Abasi.jpg?width=650)
WANANCHI: UKAHABA NA UKABAJI NI KERO KUBWA TEMEKE
9 years ago
StarTV16 Dec
Mbunge wa Ukonga Waitara Mwita kuzishughulikia Kero Za Wananchi
Mbunge wa Jimbo la Ukonga Waitara Mwita amewahakikishia wakazi wa jimbo hilo kuendelea kutatua kero zinazowakabili ikiwemo miundombinu ya barabara ambayo inachangia kurudisha nyuma maendeleo ya jimbo hilo.
Amesema ataendelea kutafuta njia mbalimbali za kumaliza changamoto katika jimbo la Ukonga kwa kuboresha huduma za kijamii na kiuchumi ili kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi na kuondokana na umaskini.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwashukuru wakazi hao wa kata ya Gongolamboto...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mbunge mteule wa Busanda ahidi kutatua kero za wananchi Geita
Msimamizi wa Uchaguzi, Ali Kidwaka akitangaza matokeo ya Ubunge jimbo la Busanda na Geita.
Mbunge mteule wa Busanda Bi Lolesia Bukwimba akiongea na Wanahabari mara baaada ya kutangazwa mshindi.
Diwani Mteule wa kata ya Lwamgasa jimbo la Busanda, Joseph Kaparatus akishangilia ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi.
Na Alphonce Kabilondo, Geita
MBUNGE mteule wa jimbo la Busanda wilayani Geita (CCM), Bi. Lolesia Jeremia Bukwimba amesema kuwa atahakikisha ana shirikiana na wananchi wake...