Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ:Polisi wamtafuta mtoto aliyetoweka

Polisi wametangaza kutoa dau la shilingi milioni tatu sawa na dola 1,700 kwa atakayetoa taarifa kuhusu mtoto albino, Pendo Emmanuel aliyetoweka nyumbani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Bibi harusi aliyetoweka apatikana

Bibi harusi Doroth Msuya aliyetoroka saluni akipambwa saa tatu kabla ya kufungwa kwa harusi yao na kumwacha solemba bwana harusi, Joseph Machange amepatikana jijini Arusha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyetoweka baada ya kumaliza mbio apatikana

Mwanariadha kutoka Italia aliyetoweka baada ya kumaliza mbio za New York Marathon amepatikana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal wamtafuta nyota wa Basel

Arsenal wameanzisha mazungumzo na klabu ya FC Basel wakitaka kumchukua kiungo wa kati Mohamed Elneny.

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wamtafuta mgombea wa Chalinze

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza mchakato wa kutafuta mgombea wa kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Chalinze, ambapo jana fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho zilianza kutolewa.

 

9 years ago

Michuzi

msaada tutani: ndugu wamtafuta PAULO DASTAN NYANGUSI aliyeolomea Afrika kusini tokea mwaka 1998

Msaada wako kaka Issa Michuzi nisaidie kuitoa kwenye blog yako hiyo picha ni ndugu yetu tunamtafuta Alikuwa south Africa tangu 1998 ila kwa sasa hatuji alipo. Ni zaidi ya miaka 15 hatuna mawasiliano nae ,watu wa south Africa wanasema hayupo south Africa ila hawajui alipo. Jina lake anaitwa PAULO DASTAN NYANGUSI.Mwenye taarifa zake tafadhali sana awasiliane na email hii ernestkinyashi@gmail.com
Ahsante
Ernest

 

11 years ago

Habarileo

Polisi kizimbani wizi wa mtoto

WATU wawili akiwemo askari Polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, wakituhumiwa kuiba mtoto. Mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo konstebo wa Polisi WP 5367 Prisca Isaya (35) mkazi wa Ilala Dar es Salaam na mkazi wa Njisi wilayani Kyela mkoani hapa Salehe Mwangosi (28).

 

5 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa kike asifiwa na polisi

Esme apewa tuzo ya kuwa shujaa

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wamnasa mtesaji wa mtoto Dar

Polisi wamefanikiwa kumnasa mwanamke anayedaiwa kumtesa kwa kipigo na kumng’ata mtoto Merina Mathayo (15), kumsababishia majeraha makubwa kichwani.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiOFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani