Uamsho wapewa dhamana ngumu
MAHAKAMA Kuu mjini Zanzibar imetoa dhamana ya masharti magumu kwa watuhumiwa wa uchochezi ambao ni viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu. Watuhumiwa hao ni Sheikh Farid Hadi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Kiongozi wa Uamsho kizimbani
Ahoji kushitakiwa Bara badala ya Z’bar
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed, anayetuhumiwa kuhifadhi wahusika wa ugaidi, amesomewa mashitaka upya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Wakati hatua hiyo ya kisheria ikichuliwa dhidi yake, Sheikh Farid alihoji mahakamani hapo juu ya uhalali wa yeye na wenzake 20 kufikishwa katika mahakama ya Bara, wakati wamekamatwa Zanzibar, ambako ni nchi kamili.
“Tunashangaa kushitakiwa hapa, labda...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Uamsho yalia na Lukuvi
Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki), imemtumia barua Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kueleza masikitiko yake kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa inahusika na vitendo vya uvunjifu wa amani.
11 years ago
TheCitizen28 Feb
Uamsho leaders out on bail
Leaders of the Association for Islamic Mobilisation and Propagation (Uamsho) were released on bail yesterday after the High Court eased their bail conditions, The Citizen has learnt.
10 years ago
TheCitizen11 Dec
Court wants Uamsho duo re-arrested
The Court of Appeal in Zanzibar has ordered re-arrest of two leaders of the Association for Islamic Mobilisation and Propagation (Uamsho) after they failed to appear in court yesterday.
11 years ago
Daily News03 May
NGO calls for ban of UAMSHO
NGO calls for ban of UAMSHO
Daily News
A NON-governmental organisation (NGO), Muslims and Christians Brotherhood Society (UNDUGU), has likened a religious group UAMSHO to a terrorist organisation and called for its ban, saying it incites chaos in society. Speaking to journalists, Chairman of ...
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Mahakama kuamua pingamizi la Uamsho
Hatima ya usikilizwaji wa maombi ya marejeo ya viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), inatarajiwa kujulikana leo, wakati Mahakama Kuu Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali la Jamhuri dhidi ya maombi hayo.
11 years ago
Mwananchi03 May
Wagosi wa Kaya warudi na Uamsho
>Mara ya mwisho kupanda jukwaani ilikuwa ni mwaka 2006 katika onyesho la kufunga mwaka lililofanyika katika ukumbi wa La Cassa Chika huko mkoani Tanga. Lilikuwa kundi la muziki lililojumuisha vijana wawili ambao walikuwa wakiongea kwa mara ya kwanza mambo muhimu yanayoihusu kwa karibu kabisa jamii ya Watanzania hasa waishio mkoa wa Tanga.
10 years ago
Habarileo20 Mar
Upelelezi wa kesi ya Uamsho bado
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika.
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Waandishi wazuiwa kuripoti kesi ya Uamsho
Dar es Salaam. Waandishi wa habari jana walizuiwa kuripoti kesi ya ugaidi inayowakabili viongozi 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania