Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamsho wapewa dhamana ngumu

MAHAKAMA Kuu mjini Zanzibar imetoa dhamana ya masharti magumu kwa watuhumiwa wa uchochezi ambao ni viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu. Watuhumiwa hao ni Sheikh Farid Hadi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kiongozi wa Uamsho kizimbani



 Ahoji kushitakiwa Bara badala ya Z’bar
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed, anayetuhumiwa kuhifadhi wahusika wa ugaidi, amesomewa mashitaka upya katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.
Wakati hatua hiyo ya kisheria ikichuliwa dhidi yake, Sheikh Farid alihoji mahakamani hapo juu ya uhalali wa yeye na wenzake 20 kufikishwa katika mahakama ya Bara, wakati wamekamatwa Zanzibar, ambako ni nchi kamili.
“Tunashangaa kushitakiwa hapa, labda...

 

11 years ago

Mwananchi

Uamsho yalia na Lukuvi

Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki), imemtumia barua Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kueleza masikitiko yake kuhusu tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi kuwa inahusika na vitendo vya uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

TheCitizen

Uamsho leaders out on bail

Leaders of the Association for Islamic Mobilisation and Propagation (Uamsho) were released on bail yesterday after the High Court eased their bail conditions, The Citizen has learnt.

 

10 years ago

TheCitizen

Court wants Uamsho duo re-arrested

The Court of Appeal in Zanzibar has ordered re-arrest of two leaders of the Association for Islamic Mobilisation and Propagation (Uamsho) after they failed to appear in court yesterday.

 

11 years ago

Daily News

NGO calls for ban of UAMSHO


NGO calls for ban of UAMSHO
Daily News
A NON-governmental organisation (NGO), Muslims and Christians Brotherhood Society (UNDUGU), has likened a religious group UAMSHO to a terrorist organisation and called for its ban, saying it incites chaos in society. Speaking to journalists, Chairman of ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama kuamua pingamizi la Uamsho

Hatima ya usikilizwaji wa maombi ya marejeo ya viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), inatarajiwa kujulikana leo, wakati Mahakama Kuu Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali la Jamhuri dhidi ya maombi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wagosi wa Kaya warudi na Uamsho

>Mara ya mwisho kupanda jukwaani ilikuwa ni mwaka 2006 katika onyesho la kufunga mwaka lililofanyika katika ukumbi wa La Cassa Chika huko mkoani Tanga. Lilikuwa kundi la muziki lililojumuisha vijana wawili ambao walikuwa wakiongea kwa mara ya kwanza mambo muhimu yanayoihusu kwa karibu kabisa jamii ya Watanzania hasa waishio mkoa wa Tanga.

 

10 years ago

Habarileo

Upelelezi wa kesi ya Uamsho bado

KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi bado wanasota rumande kwa kwa kuwa upelelezi wa kesi bado haujakamilika.

 

10 years ago

Mwananchi

Waandishi wazuiwa kuripoti kesi ya Uamsho

Dar es Salaam. Waandishi wa habari jana walizuiwa kuripoti kesi ya ugaidi inayowakabili viongozi 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani