Ubalozi wa US, Saudia wasitisha huduma
Ubalozi wa Marekani kwenye mji mkuu wa Saudi Arabia Riyadh umesitisha huduma zake zote kwa leo jumapili na kesho jumatatu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Muhimbili wasitisha tena huduma za MRI
Wiki moja baada ya kutengamaa kwa mashine ya uchunguzi wa magonjwa ya MRI (Magnetic Resonance Imaging), Hospitali ya Taifa Muhimbili imesitisha kutoa huduma hiyo jleo kutokana na kuharibika kwa kifaa kimojawapo huku mashine ya CT Scan ambayo ni muhimu zaidi ikiwa bado haijatengamaa.
10 years ago
Michuzi
Saudia yaipatia Serikali ya Tanzania zaidi ya Sh. bilioni 45 kuboresha huduma za jamii nchini.


10 years ago
Michuzi
UBALOZI WA TANZANIA - JAPAN WAPOKEA MSAADA WA MAGARI YA HUDUMA ZA AFYA NA ZIMAMOTO
Balozi wa Tanzania nchini Japan,Mhe. Salome Sijaona amepokea msaada wa magari mawili ya kubeba wagonjwa (Ambulance) na moja la zimamoto yaliyotolewa na mji wa Ibaraki, Japan kwa Serikali ya Tanzania ambao ni msaada kwa Tanzania katika kuboresha huduma za afya na kukabiliana na majanga ya moto.
Balozi wa Tanzania nchini Japan,Mh. Salome Sijaona akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Meya wa Mji wa Ibaraki nchini Japan, Yasuhira Kimoto wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya magari...

10 years ago
Vijimambo
AFISA WA UBALOZI BI. SWAHIBA AFANIKISHA HUDUMA YA KUONGEZA MUDA PASI ZA KUSAFIRIA SEATTLE, WA


10 years ago
Michuzi
MIJI YA JAPAN YAZIDI KUITIKIA WITO WA UBALOZI NA KUTOA MISAADA ZIADI YA MAGARI YA HUDUMA
Baada ya Mji wa Ibaraki kutoa magari mawili ya kubeba wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto mwezi Februari, 2015, Miji mingine ya Japan nayo imeunga mkono jitihada hizo.
Pichani Mhe. Salome Sijaona, Balozi wa Tanzania Japan na Mhe. Toshima Suzuki, Meya wa Mji wa Tochigi wakionyesha mkataba wa makubaliano wa msaada wa magari 10 ya huduma, gari 6 ni kwa ajili ya Zimamoto na 4 kubeba Wagonjwa. Gari mbili (moja la wagonjwa na moja la huduma ya zimamoto) zimetolewa Machi 24 na mji huo kwa mwaka...

11 years ago
Uhuru Newspaper
Wafanyabiashara wasitisha mgomo
NA WAANDISHI WETU
BIASHARA katika Jiji la Dar es Salaam, zimeanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya juzi baadhi ya wafanyabiashara wa maduka kugoma na kuyafunga, wakipinga matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFD).

Hata hivyo, wafanyabiashara hao walisitisha mgomo huo baada ya kufikiwa kwa maazimio...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ukawa wasitisha kampeni saa 24
Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umetangaza kusitisha kampeni zake kwa saa 24 ili kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwenyekiti mwenza wa umoja huo, Dk Emmanuel Makaidi, ambaye anazikwa leo jijini Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Waasi wa Myanmar wasitisha vita
Waasi katika jimbo la Kokang nchini Myanmar,ambao wamekuwa wakikabiliana na majeshi ya serikali wamesitisha mapigano.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania