Ubunge dili
Wakati makada kadhaa wanasubiri kwa hamu kuteuliwa na Rais kushika nafasi za ukuu wa wilaya na mikoa, walio kwenye nafasi hizo wamekimbilia majimboni kuwania ubunge, ambao una ajira ya uhakika, marupurupu na kiinua mgongo kinono, Mwananchi imebaini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMTANGAZA NIA UBUNGE LUDEWA AANGUKIA PUA NAFASI YA NEC, AAPA KUTOKUGOMBEA UBUNGE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crlC4bRStvSUJgtpATl4XmMEgQGOXdODng0iedSf4pwUt6AnPgHOAVYbY-sdsxJvpVp4Qyf-gXOrBfgDmfaKbDd/JK.jpg)
JK AMPA DILI DIAMOND
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d0Zm7KFpQ-nkwS4b-MCRhQNvEnX37dPM57oVSnr1yxk6HJAV-6Dy9779bEoyt0DVm2*4KqUpSwMjSyKj3iJs4WF/davina.jpg?width=650)
DAVINA: KULEA KUMENIKOSESHA DILI
11 years ago
Habarileo02 May
Madeni ya walimu yageuzwa ‘dili’
RAIS Jakaya Kikwete, amesema Serikali imebaini kuwepo kwa mchezo mchafu unaotumiwa na baadhi ya watumishi wasio waaminifu, unaosababisha malimbikizo ya madeni ya wafanyakazi hususani walimu kutomalizika, kwa maslahi yao binafsi.
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
10 years ago
Dewji Blog11 Jun
Wateja kufaidika na “Dili Bomba” ya Fastjet
Meneja Mkuu wa kampuni ya fastjet, Afrika masharaki, Jimmy kibati akizungumza na mawakala wa usafiri wa anga na waandishi wa habari kwenye semina kuhusiana na kampeni ya Dili Bomba. Semina hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
Afisa Mahusiano na Masoko wa Kampuni ya ndege ya Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Mshauri wa Kibiashara wa Fastjet, Ian Petrie akielezea zaidi kuhusu kampeni ya Dili Bomba katika semina hiyo.
Afisa...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Watoto wa kiume Culcutta sio dili
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Unagombana na dili? ...Hizi siyo akili
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Filamu Zakiasili za Mpa Dili Husna
Staa mrembo wa filamu, Husna Chobis amefunguka kwa kusema kuwa filamu alizoigiza za kiasili zimepata dili la kwenda kuigiza nchini Uingereza, baada ya kuchaguliwa kupitia sinema ya Gawa na Ndase alizoigiza na kumpatia umaarufu.
“Namshumkru Mwenyezimungu kwa kuonyesha kipaji changu uigizaji na hasa filamu za asili, najua wazi kama si filamu hizi isingekuwa rahisi kuchaguliwa na kuja hapa Uingereza kushiriki filamu ninayocheza sasa, filamu za asili zimenipa dili,”anasema Husna.
Msanii huyo...