Uchunguzi Bomu Zanzibar
Polisi Zanzibar wamesema taarifa za raia ni mhimu kipindi hiki cha uchunguzi wa shambulio la Bomu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV08 Jan
Polisi Singida yatoa taarifa ya uchunguzi wa bomu.
Na Emmanuael Michael,
Singida.
Polisi Mkoani Singida imetoa taarifa rasmi juu ya uchunguzi wa mlipuko unaosadikiwa kuwa ni bomu la kutengenezwa kienyeji, uliotokea hivi karibuni nyumbani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Halima Mpita na kusababisha madhara na hofu kubwa.
Uchunguzi huo wa mtaalamu wa milipuko kutoka Jeshi la Wananchi JWTZ Jijini Arusha umebaini kuwa, ingawa lengo lilikuwa kufanya mauaji lakini utengezaji wake haukukamilika vyema wala kufikia hatua...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Uchunguzi wachelewesha kesi Zanzibar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MLIPUKO WA BOMU ZANZIBAR
11 years ago
Habarileo18 Jun
Waliolipua bomu Zanzibar kunaswa
SERIKALI imesema ina uwezo wa kuwakamata wale wote waliohusika katika shambulizi la bomu, lililosababisha kifo na kujeruhi wengine saba mwishoni mwa wiki iliyopita, mjini Zanzibar.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Bomu laua mmoja Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VqZfAe1z1jw/U_9IFqRebUI/AAAAAAAGMKs/nbUyJ7xAagE/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
JUMUIYA YA Z-NCDA KUFANYA UCHUNGUZI WA SARATANI YA KIZAZI ZANZIBAR
Jumuiya ya Maradhi yasiyo Ambukiza Zanzibar (Z-NCDA) inatarajia kuzindua Kampeni ya Uchunguzi wa Maradhi ya Kansa ya Shingo ya Kizazi Agosti 30-31 mwaka huu.
Uzinduzi huo utafanyika katika Kituo cha Afya Mpendae mjini Zanzibar ambapo Wanawake wenye dalili za Maradhi hayo watafanyiwa uchunguzi bure kituoni hapo.
Akizungumza na Waandishi wa habari Ofisini kwao Mpendae, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Ali Mansour Vuai amesema lengo la uchunguzi huo ni kuisaidia Serikali...
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Zanzibar;Bomu lamuua mtu mmoja
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Bomu lauwa mmoja mjini Zanzibar
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa