Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Udanganyifu kwenye biashara ya gesi ya kupikia (LPG)

Mfano wa mitungi midogo ambayo haikutimia uzito unaotakiwa.  Salaam Ankal Michuzi. Tafadhali wahadharishe wadau kuhusu udanganyifu mkubwa unaofanyika hivi sasa kwenye mitungi ya gesi ya kupikia. Wajanja hao hupunguza gesi kutoka kwenye ile mitungi mikubwa na kupata mitungi midogo ambayo haijatimia uzito unaotakiwa. Jinsi ya kukwepa udanganyifu huu mkubwa ni  kuwa,  kila unaponunua gesi ya kupikia, kuhakikisha mtungi huo una "seal" kwenye sehemu ya kutolea gesi. Pili, usinunue mtungi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wahimizwa kupikia gesi

KAMPUNI kongwe ya huduma za umeme wa jua (solar) nchini, Katomu Investment Limited, imewahimiza Watanzania kupikia gesi majumbani mwao ili kuepuka gharama kubwa za kuni, mkaa na kuangamiza misitu. Akizungumza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!

11173318_715091675287121_403970394052586402_nBurger bomba  kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi,  zenye ufahari kutoka MeTL Group.

Je? umeshatumia bidhaa bora kutoka MO!! pata sasa zipo karibu nawe  NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG

Kampuni ya MeTL Group  imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani  na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi  na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...

 

10 years ago

Mwananchi

Makaa ya mawe kutumika kupikia

Gharama za maisha pamoja na uharibifu wa mazingira utapungua baada ya Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Ngaka kubuni mpango wa kutumia makaa hayo kama nishati ya kupikia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatuoni tatizo kwenye mjadala wa gesi nchini

JUZI na jana kulikuwa na kongamano kubwa kati ya viongozi wa dini na Wizara ya Nishati na Madini kuhusu maliasili ya gesi asilia, mafuta na madini kwa amani na maendeleo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria kuwezesha wazawa kwenye gesi yaja

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kuandaaa sheria, kanuni na taratibu kwa ajili ya uwekezaji wenye tija kwa wazawa katika sekta ya gesi na mafuta....

 

11 years ago

KwanzaJamii

Makosa ya kwenye madini yasirudiwe katika mafuta na gesi

UTAFITI uliofanywa  katika sekta ya madini unaonyesha kuwa Tanzania ina  aina 30 za madini mbalimbali ambapo ramani mpya ya madini kutoka wizara ya nishati na madini inaonyesha kuwa kila wilaya hapa nchini inakadiriwa kuwa na aina 30 za madini. Hata hivyo  hali ya uchumi wa Tanzania na  hali halisi ya maisha haifanani na watu wanaoishi katika nchi yenye madini na raslimali nyingi adimu kama vile madini ya dhahabu, almasi na Tanzanite ambapo miaka ya karibuni imegundulika uwepo mafuta na gesi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani