Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugiriki : Hatutaki Marupurupu yetu

Huku mataifa ya Afrika yakikabiliwa na migomo kwa ajili ya marupurupu Ugiriki imekataa kupokea marupurupu yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwakwenda: Napenda ubunge wa enzi za Nyerere, siyo wa marupurupu

Miaka 30 iliyopita, kazi ya ubunge ilikuwa ya kujitolea na haikuwa na mvuto kwa watu wengi. Lakini sasa ni balaa. Inavuta watu wa aina mbalimbali wakiwamo maskini, wenye pesa, wanawake, wanaume, maprofesa na hata wa elimu ya chini kabisa ya msingi ili mradi wanajua kusoma na kuandika.

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.

 Msajili wa Vyama vya  Siasa Jaji Francis Mutungi  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya   utofauti wa itikadi wa vyama ndiyo ukomavu wa demokrasia nchini hivyo ni jambo la busara kuvumiliana na kufanya siasa za kistaarabu, ameyasema hayo wakati  wa  kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam kulia ni Balozi wa Amani Mrisho Mpoto na kushoto ni Balozi wa Amani Christina Shusho. Balozi wa Amani Mrisho Mpoto akifafanua jambo katika kikao hicho leo jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Bakary: Hatutaki Serikali mbili

Abubakary Khamis Bakary ni Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar. Hili si jina geni masikioni mwa Watanzania hasa wale wanaofuatilia Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi:hatutaki vita na Ukraine

Urusi imesema haina mpango wa kuingia vitani na Ukraine,hata hivyo inaunga mkono mpango wa upigaji kura ya maoni mjini Crimea

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatutaki vijembe, kejeli Bunge la Bajeti

KESHOKUTWA vikao vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 vinaanza mkoani Dodoma ambapo serikali imetoa mwelekeo wa bajeti ambao unafikia sh trilioni 19.6 ikilinganishwa na sh trilioni 18.2 za mwaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu hatutaki kubadilika kweli

Kuna mambo mengi yanakwaza maendeleo ya michezo nchini, hususani soka. Kama itakulazimu kuyaorodhesha mambo hayo, fursa hiyo itakugharimu muda mrefu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”

DSC_3048

Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi  (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia)  na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa  katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa  “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).

DSC_3062

DSC_3072

DSC_3070

Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...

 

10 years ago

Mwananchi

Balozi Karume: Hatutaki Rais ‘ndiyo mzee’

>Mwanadiplomasia mashuhuri visiwani Zanzibar,  Balozi Ali Karume ametangaza nia ya kuchukua fomu ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

Bongo5

Kala: Hatutaki watu wa kati kwenye show za makampuni

Kala Jeremiah amefunguka kuhusu yale yanayomkwaza moyoni kuhusiana na muziki wa Tanzania ulipofika. Rapper huyo ameoeneshwa kukerwa na kuendelea kuona wasanii wengi wakiwa maskini kwasababu ya watu wachache wanaohodhi kila kitu. “Kwa ninavyofahamu mimi biashara ya muziki ni biashara kubwa sana na inayoweza kumtoa mhusika kwenye zero na kumpeleka kwenye hero kwa muda wa mwezi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani