UGUMU WA LOWASSA KUPENYA NI HUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/30.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa. Na Hashim Aziz VUGUVUGU la watangaza nia ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchuana kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa rais, unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu linazidi kuwa kubwa kila kukicha. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1BGne42
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
NAPE: CCM haitaruhusu wanunua urais kupenya uchaguzi mkuu wa mwaka huu
MTUME na Nabii wa Kanisa la EFATHA Josephat Mwingira akimlaki kwa furaha, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alipowasili katika ukumbini, kutoa mada kuhusu nafasi ya CCM na uhusiano wa CCM katika jamii, kwnye semina ya wachungaji wa kanisa hilo wa ndani na nje ya Tanzania, inayoendelea Kibahaka mkoa wa Pwani. Watatu kulia ni Mama Eliakunda Mwingira.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitoa mada kwenye semina hiyo.
> . Asema wanapoteza muda na pesa zao
>. Awataka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D82S2KBhTJ4zF8AUD8dHjsXY*1fwFp3DwRDsJwa7pqeUUJjpR2raBXY0HOC8Fjs7CHddmpfewwWkDnjWYmJKELu/Lowassa.gif?width=650)
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
JB Asema Umri Umemtupa Mkono Kupenya Kimataifa!
Muigizaji mkongwe na muongozaji wa filamu hapa Bongo, ambae pia ni mkurugezi wa kamputi ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem, Jacob stephen 'JB' ameyasema hayo alipokuwa akijibu baadhi ya maswali ya mashabiki wake ambao ambao walikuwa wanataka wamuone JB akifanya kazi na wasanii wakimataifa ili kufanya tasnia yaetu ya filamu kupanuka kimataifa. JB alisema ;
“Jana nilikuwa najibu maswali ya wadau wa jerusalem.wengi wanapenda kuniona kimataifa.niliahidi kulijibu leo...ndugu zangu kwanza...
9 years ago
Habarileo21 Sep
Lowassa, huu ni ‘muziki mkubwa’ -Msukuma
MWENYEKITI wa CCM mkoa wa Geita, Joseph Msukuma amemvaa mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa na wengine waliohamia Ukawa akisema wanashukuru chama kimetua mzigo.
10 years ago
Mtanzania11 May
Lowassa: Huu ni wakati wetu wa kukimbia
NA MWANDISHI WETU, TABORA
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.
Kwa mujibu wa Lowassa, elimu ya Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba njia sahihi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5VVevXxNQPEKUVlwGHOEjSkwhhEXbkelRU*emEJuoOvg9L*vOsbw*zaqb7a*ZMP4zTkdg3Y9KsVXah2q70tcuNf/DrSlaa.gif?width=650)
KUHUSU DK. SLAA KUMKATAA LOWASSA UKWELI NI HUU
9 years ago
Vijimambo15 Sep
Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Edo-15Sept2015.png)
Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.
Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/maxresdefault.jpg?width=650)
CCM; HUU SI WAKATI WA KUMSEMA LOWASSA NI WA MABADILIKO