UHOLANZI YAICHINJA CHILE, YATINGA 16 BORA
Wachezaji wa Uholanzi wakiwashukuru mashabiki baada ya mechi. Leroy Fer (wa tatu kulia) akiifungia Uholanzi bao la kwanza.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Arsenal yatinga 16 bora
Arsenal imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya pili ya kundi D ,Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutinga hatua ya kumi na sita bora
10 years ago
GPLMAN UTD YATINGA TATU BORA LIGI KUU ENGLAND
Mshambuliaji wa Manchester United, Van Persie akifunga bao la kwanza dakika ya 12 kipindi cha kwanza dhidi ya Southampton kwenye Uwanja wa St. Marys usiku wa kuamkia leo. Van Persie akiongea na mashabiki baada ya kufunga bao.…
11 years ago
MichuziZiara ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora yatinga Makao makuu ya TASAF
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Abdallah Sallehe Ahmed akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani).
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF...
11 years ago
Bongo513 Jul
Uholanzi yailaza Brazil 3-0,Uholanzi yashika nafasi ya 3 kombe la dunia
Timu ya taifa ya Uholanzi imeibamiza Brazil 3-0 na kutwaa nafasi ya tatu katika kombe la dunia huko Brazil. Mashabiki wa Brazil waliwazomea wachezaji wao akiwemo kocha Luiz felipe Scolari kwa utendakazi duni katika mechi hizi mbili za mwisho ambazo Brazil imefungwa mabao 10 nayo ikifunga moja. Brazil ilifungua mechi hiyo kwa kasi lakini ikafungwa […]
11 years ago
GPLSTARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA
Stars wakishangilia ushindi dhidi ya Zimbabwe. TIMU ya Taifa, Taifa Stars imeibuka kifua mbele baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Zimbabwe 'Mighty Warriors' bao 1-0 katika mechi ya kuwania nafasi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bao la Stars limefungwa na John Bocco 'JB' dakika ya 16 kipindi cha kwanza! ...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Volkeno yalipuka Chile
Volkeno mmoja huko Chile imelipuka ikitupa makaa ya moto na Jivu. Mlima Villarrica ilianza kulipuka jana.
11 years ago
GPLCHILE YAILAZA AUSTRALIA 3-1
Chile wakishangilia bao lao la pili lililofungwa na Jorge Valdivia dakika ya 14 ya kipindi cha kwanza. Alexis Sanchez (kulia) ambaye pia anaichezea Barcelona, akishangilia bao la kwanza aliloifungia Chile dhidi ya Australia.…
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Chile kuchuana na Uhispania
Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Wanafunzi waandamana Chile
Kumeshudiwa ghasia na fujo katika mji mkuu wa Chile, Santiago, kati ya polisi wa kupambana na ghasia na wanafunzi ambao wanataka mabadiliko makubwa yafanyiwe sekta ya elimu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania