Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujanani hakuna matatizo, hizi ni changamoto

Kuna msemo aliwahi kuniambia mwalimu wangu wa uandishi wa habari. Kipindi hicho ninaanza pale The Guardian miaka ya 1996, alikuwa akiitwa Gershom Mallebettoh, wenyewe tulikuwa tukimuita ‘Babu’, aliwahi kuniambia duniani hakuna kitu kinaitwa matatizo au kushindwa, hasa kwa mwanaume. Katika maisha ya kila siku kuna changamoto!

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hizi ni changamoto za wajasiriamali nchini - 5

Wiki iliyopita nilizungumzia sheria na taratibu za kufanya biashara kama moja ya changamoto wanazokabiliana nazo wajasiriamali wadogo na wa kati nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Enrico: Hakuna Bongo Fleva siku hizi

NA HERIETH FAUSTINE

MTAYARISHAJI wa muziki kutoka studio ya Sound Crafters, Enrico Figueroa ‘Enrico’, amesema nyimbo zote
zinazotoka siku hizi hazina ubora, ndiyo maana haziwezi kudumu hata kwa miaka miwili.

“Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea, hakuna
Bongo Fleva ya kukaa miaka miwili,” alisema Enrico, alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo
kinachorushwa na kituo cha runinga cha EATV.

Aliongeza kwamba ili wimbo...

 

10 years ago

Mwananchi

Werema: Hakuna atakayebadili, fedha hizi si za umma

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ameomba uamuzi wa wabunge utakaotolewa usiathiri kesi zilizopo mahakamani kuhusiana na mgogoro wa IPTL/ Escrow.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuzikabili changamoto hizi za afya kwa nguvu zote

Jumanne wiki hii Bunge lilipitisha bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Ilipitishwa japo ilikuwa kwa mbinde.

 

11 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kilizindua mkakati wake wa ushindi “Hakuna kulala, hakuna kula mpaka kieleweke” katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kufungua mafunzo yatakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa vyama na Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Habarileo

DC- Matatizo ya Muungano ni ya mpito

UWEPO wa changamoto za Muungano ni kielelezo cha uhai wa Muungano wenyewe na si vinginevyo, kwani duniani hakuna muungano usio na changamoto.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti wa matatizo ya akili

Watafiti nchini Uingereza wanasema, kuongezeka kwa vitendo viovu, kunaweza kuwa dalili za mwanzo za matatizo ya akili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani