Ujangili wakithiri Kenya
Mamlaka ya Kenya imekamata pembe za Tembo zinazoaminika zimetoka kwa Tembo wasiopungua 114
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0n6n8FizQD2LWX87LjmhOC0d*dkfc34E4StjMCD0GRHrUuHFQzpBMTlbuF-K1UJfvVBmaNVcml-6a0TMGv7wl4C/dnkisumulaunch0512c.jpg?width=640)
MGOMO WA MADAKTARI KENYA WAKITHIRI
10 years ago
StarTV10 Feb
Ushirikiano Tanzania, Kenya wapunguza ujangili.
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Ushirikiano baina ya nchi za Tanzania na Kenya katika kupambana na vitendo vya ujangili kwenye hifadhi za wanyama na mapori ya akiba umeanza kuzaa matunda baada ya takwimu kuonyesha kupungua kwa mauaji ya wanyama wakubwa wakiwemo Tembo, Simba na Twiga kwa kipindi cha miaka minne iliyopita.
Ushirikiano huo unatekelezwa chini ya programu zinazohusisha vijiji vinavyopakana na maeneo ya wanyamapori yaliyohifadhiwa kisheria chini ya uratibu wa shirika la...
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kenya kutumia ndege kupambana na ujangili
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Utoro wakithiri shule za Dodoma
11 years ago
BBCSwahili11 Feb
Utovu wa usalama wakithiri S.Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_121139_693.jpg)
WAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fti2MBZBnhk/XrqJ7R9j9UI/AAAAAAAAJVc/rP7f8gDFR5csyDd_VFfpx7dfdD2g5FowQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121139_693.jpg)
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kF7ADwejNSQ/XrqJ6wo15hI/AAAAAAAAJVY/vJ8T8dL1jfMi6ZBfpk5PKehi5EChsGLAQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121206_549.jpg)
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-EuYjl9UP5CM/XrqJ6urwQ4I/AAAAAAAAJVU/6EP41pjeNvgqFVNLpdpfzbiSbaO9VsCPQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121228_443.jpg)
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
![](https://1.bp.blogspot.com/-RlT6LsGqBrg/XrqJ-uGDhEI/AAAAAAAAJVk/XE2kMqs5mb8Ne8ApERrqF-GH8n0ZSjQnwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_121409_797.jpg)
Kamanda Shana akiwa na...
10 years ago
Habarileo30 Aug
Watoto wakithiri ngono, hawatumii kondom
SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, imebainisha haja ya elimu ya afya ya uzazi kukabili hali ya sasa ya tabia hatarishi zinazowakabili vijana wadogo.
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Utapeli wakithiri Kituo cha Mabasi Ubungo