Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushirikiano Tanzania, Kenya wapunguza ujangili.

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

 

Ushirikiano baina ya nchi za Tanzania na Kenya katika kupambana na vitendo vya ujangili kwenye hifadhi za wanyama na mapori ya akiba umeanza kuzaa matunda baada ya takwimu kuonyesha kupungua kwa mauaji ya wanyama wakubwa wakiwemo Tembo, Simba na Twiga kwa kipindi cha miaka minne iliyopita.

 

Ushirikiano huo unatekelezwa chini ya programu zinazohusisha vijiji vinavyopakana na maeneo ya wanyamapori yaliyohifadhiwa kisheria chini ya uratibu wa shirika la...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili

GU9A8625

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ujangili wakithiri Kenya

Mamlaka ya Kenya imekamata pembe za Tembo zinazoaminika zimetoka kwa Tembo wasiopungua 114

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya kutumia ndege kupambana na ujangili

Kenya inajiandaa kuanzisha mradi wa kutumia ndege zisizokuwa na rubani kuimarisha ulinzi katika mbuga za wanyama, kutokana na kuongezeka kwa ujangili

 

11 years ago

Mwananchi

Vyura wapunguza uzalishaji umeme wa Tanesco

Shirika la Umeme (Tanesco), limepunguza kiwango cha uzalishaji wa umeme katika bonde la mto Kihansi, lililopo Kilombero mkoani Morogoro ili kuacha akiba ya maji kwa ajili ya ukuzaji na utunzaji wa vyura wanaopatikana katika eneo hilo ambao wapo hatarini kutoweka ulimwenguni.

 

10 years ago

Vijimambo

VOA yazindua ushirikiano na Equator FM, Kisumu, Kenya

Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika Jumatano ilizindua rasmi ushirikiano wa kimatangazo na Equator FM - radio inayomilikiwa na chuo kikuu cha Maseno mjini Kisumu Kenya. Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya America Dr. Mwamoyo Hamza akizungumza wakati wa uzinduzi huo Kisumu siku ya Jumatano.

 

10 years ago

Habarileo

Uwezo mdogo wapunguza bajeti ya vifaa vya kujifungulia

SERIKALI jana imeliambia Bunge kushuka kwa bajeti ya vifaa vya kujifungulia kutoka Sh bilioni tatu mwaka 2013/14 na Sh bilioni nne mwaka 2012/13 hadi Sh bilioni 1.5 kwa 2014/15 kunatokana na uwezo wa serikali kiuchumi kuwa mdogo kuweza kukidhi mahitaji yote ya nchi.

 

10 years ago

GPL

WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO

Washiriki wa mkutano mkuu wa mwisho wa mwaka uliowahusisha wakuu wa TEHAMA wa sekta mbali mbali nchini Kenya wakiendelea na Mkutano wao jijini Nairobi kujadili mambo mbalimbali na changamoto zake . Mkutano ukiendelea…

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

9 years ago

Michuzi

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF

TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS

FORUM IN NAIROBI, KENYA,

6THOCTOBER 2015


Ladies and Gentlemen;

I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani