Ushirikiano Tanzania, Kenya wapunguza ujangili.
Na Ramadhan Mvungi,
Arusha.
Ushirikiano baina ya nchi za Tanzania na Kenya katika kupambana na vitendo vya ujangili kwenye hifadhi za wanyama na mapori ya akiba umeanza kuzaa matunda baada ya takwimu kuonyesha kupungua kwa mauaji ya wanyama wakubwa wakiwemo Tembo, Simba na Twiga kwa kipindi cha miaka minne iliyopita.
Ushirikiano huo unatekelezwa chini ya programu zinazohusisha vijiji vinavyopakana na maeneo ya wanyamapori yaliyohifadhiwa kisheria chini ya uratibu wa shirika la...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Ujangili wakithiri Kenya
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kenya kutumia ndege kupambana na ujangili
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Vyura wapunguza uzalishaji umeme wa Tanesco
10 years ago
VijimamboVOA yazindua ushirikiano na Equator FM, Kisumu, Kenya
10 years ago
Habarileo31 Jan
Uwezo mdogo wapunguza bajeti ya vifaa vya kujifungulia
SERIKALI jana imeliambia Bunge kushuka kwa bajeti ya vifaa vya kujifungulia kutoka Sh bilioni tatu mwaka 2013/14 na Sh bilioni nne mwaka 2012/13 hadi Sh bilioni 1.5 kwa 2014/15 kunatokana na uwezo wa serikali kiuchumi kuwa mdogo kuweza kukidhi mahitaji yote ya nchi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYoLPtfYEXffJD8eUw3dJfAxBobjxPqcWx8OY5IXOiX4WghkUi467qXxQ9n8nHOe783BU8DWiTfZnyZ33CBJ6Hu5/1.jpg?width=650)
WAKUU WA SEKTA YA TEHAMA NCHINI KENYA WAKUTANA, WAHIMIZA USHIRIKIANO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
9 years ago
Michuzi14 Oct
KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015
Ladies and Gentlemen;I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...