Ujerumani mabingwa wa dunia
Ujerumani ndiyo mabingwa wapya wa dunia baada ya kuichapa 1-0 Argentina katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2014, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jul
BRAZIL 2014: Ujerumani - Mabingwa wa Dunia!
9 years ago
Bongo509 Nov
Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana
![Nigeria 3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nigeria-3-300x194.jpg)
Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.
Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.
Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.
Mshambuliajia Victor Osimhen...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Injini 5 za Ujerumani Fainali za Kombe la Dunia Brazil
MIONGONI mwa timu zinazopewa nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia za nchini Brazil, ni Ujerumani. Ujerumani, wenyeji wa fainali hizo wa mwaka 2006, ni timu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CqrHFit6fK-a8VUQq1iusWIx5iqDZeZn-ozjzo5u1QvIljOr45T-FcbPGpSjRTOSdYfISJ-dbrB6S2uhe-GvFZK/ujerumani.jpg)
UJERUMANI BINGWA KWA MARA YA 4 KOMBE LA DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s72-c/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Mabingwa watetezi kombe la Dunia Spain Mbendembende mbele ya Holland, yachapwa 5-1
![](http://3.bp.blogspot.com/-1pCCsQww79Q/U5vBdk-1g1I/AAAAAAAFqe4/kuBbtiS99Y0/s1600/article-2657446-1EBEA91A00000578-850_964x386.jpg)
Na Sultani Kipingo
wa Globu ya Jamii
Siku ya tatu tu tokea michuano ya kombe la Dunia ianze nchini Brazil, tayari mabingwa watetezi Spain wanakuta kombe hilo linateleza mikononi mwao. Japokuwa miaka minne iliyopita walipoteza mchezo wao kwa kwanza dhidi ya Switzerland huko Afrika ya Kusini, lakini hiyo haiwezi kulinganishwa na kilichotokea uwanja wa Fonte Nova katika mji wa Salvador ulio Kaskazini-Mashariki ya Brazil usiku wa kuamkia leo baada ya kuchwapwa bao 5-1 na Holland. Hilo ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRb6SmW1f4mYR4EQDumYNn3W26Hrb2lp20hPfW6-09oDVTXewCYTw1EkxO-CCtV-cSn82SWSXRiywfNggr-jx4GR/140708201731_gol_muller_512x288_getty_nocredit.jpg?width=640)
KOMBE LA DUNIA: UJERUMANI YAIFANYIA KITU MBAYA BRAZIL NA KUTINGA FAINALI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
Mwananchi14 Jul
BRAZIL 2014: Ujerumani yaweka historia Kombe la Dunia, Goetze aizamisha Argentina
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wqOCcZu2tfE/U0ZE_xngGtI/AAAAAAAFZm0/lU69eVCV2G0/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Timu ya watoto wa mtaani kutoka Tanzania iliyoibuka mabingwa wa dunia katika mchezo wa soka yapokewa kishujaa
![](http://3.bp.blogspot.com/-wqOCcZu2tfE/U0ZE_xngGtI/AAAAAAAFZm0/lU69eVCV2G0/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1_M5Gf_GjsY/U0ZE_9UKdOI/AAAAAAAFZmY/CWrUlqFjeh4/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1ZhnGsirZo/U0ZE_1-KSyI/AAAAAAAFZmc/ua1KUh5pBJQ/s1600/unnamed+(7).jpg)