Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA ngangari

LICHA ya kupigwa marufuku ya kufanya mikutano yake mkoani Kigoma, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umesema utaendelea na mikutano yake mkoani humo kama walivyopanga. Kauli hiyo ya UKAWA, inatokana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Maalim Seif: Ukawa ngangari

maalim seif sharif hamad

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad

Na Silvan Kiwale, Dar es Salaam

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kuwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uko palepale licha ya kujiuzulu uenyekiti kwa Profesa Ibrahim Lipumba.

Kauli hiyo aliitoa jana jioni alipokuwa akizungumza na mamia ya wanachama na wapenzi wa chama hicho waliofurika katika Ofisi za makao maku ya CUF Buguruni jijini Dar es Salaam.

Alisema pamoja katika siasa kuna...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Warioba ngangari

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, amesema kamwe hawezi kuacha kusimamia rasimu waliyoitoa Warioba amesema anafanya hivyo kwakuwa rasimu hiyo haikutokana na mawazo yake...

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal bando ngangari

Arsenal jana usiku wamefanikiwa kurejea katika nafasi yao ya kwanza kwenye ligi ya Premier baada ya kuicharaza Aston Villa 2-1

 

10 years ago

Tanzania Daima

Halima Mdee ngangari

JESHI la Polisi jana lilitembeza mkong’oto na kuwakamata makada na viongozi wa Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wakiandamana kwenda Ikulu Mwenyekiti wa Bawacha, Halima...

 

9 years ago

Mtanzania

Spika Ndugai: Nipo ngangari

Job-NdugaiNa Mwandishi Wetu

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema afya yake ni njema na anaendelea na majukumu yake ya kila siku kama kawaida.

Amesema hivi sasa yuko India alikokwenda kufanya uchunguzi wa afya yake katika Hospital ya Apollo na kwamba madaktari wake bado wanaendelea kumfanyia uchunguzi wa macho.

Akizungumza na MTANZANIA jana kupitia simu yake ya kuganjani kutokea nchini India, Spika Ndugai alizungumzia afya yake, aliondoka nchini Desemba 3, mwaka huu kwenda kuwaona madaktari wake ili...

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema ngangari, IGP Mangu aonya

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuwa ngangari kwa kusisitiza kuwa maandamano yake yako palepale.

Chadema kimesema kuwa watajilinda wenyewe katika mikutano yao kwa sababu wana vijana waliopata mafunzo ya ulinzi na usalama.

Chama hicho jana kilitangaza kuanza kutekeleza maazimio ya mkutano wake mkuu kwa ajili ya kufanya maandamano na migomo isiyo na ukomo nchi nzima.

Wakati Chadema wakisisitiza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bado tuko ngangari uongozini - Libya

Serikali ya Libya imesisitiza kuwa bado imedhibiti uongozi wa nchi licha ya shambulio bungeni

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Jeshi lasema liko ngangari

Jeshi la Nigeria limesema kuwa litaendelea na harakati zake dhidi ya kundi la Boko Haram licha ya kundi hilo kuwaua wanajeshi na raia mwishoni mwa wiki

 

10 years ago

Habarileo

CUF ngangari yaapa kuandamana kila mwaka

Makamu Mwenyekiti wa CUF, Juma Duni HajiCHAMA cha Wananchi (CUF) kimedai kuwa licha ya kushindwa kuandamana hivi karibuni huku viongozi na wafuasi wake wakiingia matatani kutokana na kukiuka agizo la Jeshi la Polisi la kutoandamana, kimesisitiza kitaendelea kuandamana kila ifikapo Januari 27, ya kila mwaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani