Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bado tuko ngangari uongozini - Libya

Serikali ya Libya imesisitiza kuwa bado imedhibiti uongozi wa nchi licha ya shambulio bungeni

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?

Kujikwaa siyo kuanguka, bado tunaweza kubadili mawazo kwa maslahi ya Taifa Zikiwa zimesalia siku 42 kufika tarehe 1 Machi 2015, tarehe ambayo kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo siku ambayo Asasi za Kiraia baada ya kupewa ruhusa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi zitaanza kutoa elimu ya uraia juu ya Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Mwananchi

UTEKELEZAJI: Uganda bado ‘ngangari’ dhidi ya ushoga

>Serikali imesema kuwa sheria mpya inayopiga marufuku vitendo vya ushoga ambayo inalalamikiwa vikali na baadhi ya makundi ya wanaharakati, haina makosa yoyote na kwamba wale wanaoendelea kuikosoa watakuwa na ajenda yao ya siri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Riek Machar:Sijui nitarudi lini uongozini

Makamu wa rais wa zamani wa Sudan Kusini, Riek Machar, anasema kuwa hajui ni lini atarejea nchini humo na kuendelea na kazi yake.

 

10 years ago

Michuzi

TWAWEZA: JE, TUKO SALAMA?

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
 WANANCHI watatu kati ya kumi  wameshakumbana na  wizi ndani ya kipindi cha mwaka  jana,na asilimia 84 ya wananchi  wanaamini kuwa kuna uwezekano wa kuathiriwa na makundi ya vijana waharifu kama panya road.
 Hayo yameelezwa kwenye Utafiti umefanywa na Twaweza kwenye utafiti wenye jina la Je, tuko salama? maoni ya wananchi juu ya usalama na haki waliofanya mkutano katika ukumbi wa mikutano  wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mtafiti wa twaweza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tuko tayari kwenda mahabusu’

NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Levelos, Ephata Nanyaro, wote wa CHADEMA, wamesema wamejiandaa kukaa mahabusu  gerezani Kisongo ikiwa ni ishara ya kupinga unyanyasaji na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuko Dodoma kula posho tu - Mjumbe

Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Alli Omari Juma amefuta matumaini ya Watanzania kuhusu kupatikana kwa Katiba mpya, badala yake akabainisha kuwa wajumbe wako Dodoma kwa ajili ya kula posho tu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Warioba ngangari

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, amesema kamwe hawezi kuacha kusimamia rasimu waliyoitoa Warioba amesema anafanya hivyo kwakuwa rasimu hiyo haikutokana na mawazo yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA ngangari

LICHA ya kupigwa marufuku ya kufanya mikutano yake mkoani Kigoma, Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umesema utaendelea na mikutano yake mkoani humo kama walivyopanga. Kauli hiyo ya UKAWA, inatokana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Ufaransa: Tuko tayari kuwekeza na wazawa

SERIKALI ya Ufaranza imesema kuwa iko tayari kuwekeza kwa ubia na wafanyabiashara wa ndani ili Watanzania waweze kunufaika na rasilimali zao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Balozi wa Ufaranza nchini,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani