Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukraine na Cremia kuamua, Lavrov asema

Waziri Mkuu wa Urusi, Sergei Lavrov, asema mamlaka nchini Ukrain na yale ya Jimbo la Cremia yataamua iwapo yatahitaji wachunguzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine;saa 48 kuamua mustakabal wake

Waukraine wanaoishi mashariki wanatakriban saa 48 kuamua mustakabal wao la sivyo wakabiliane na vyombo vya usalama vya dola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lavrov ashutumu mataifa ya magharibi

Waziri wa mambo ya kigeni wa Urusi, asema mataifa ya magharibi yanaazimia kuondoa madarakani serikali ya Urusi

 

5 years ago

Mwananchi

Kenya kuamua kuchaguana keshokutwa

Wakenya keshokutwa wanapiga kura kuchagua viongozi wa kuongoza mamlaka ya nchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano, huku Kituo cha Taifa cha Haki za Binadamu nchini Kenya (KNCHR), Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) kuhakikisha matokeo ya kura zilizopigwa kwenye maeneo yasiyokuwa na mtandao yanakuwa sahihi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama kuamua pingamizi la Uamsho

Hatima ya usikilizwaji wa maombi ya marejeo ya viongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), inatarajiwa kujulikana leo, wakati Mahakama Kuu Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali la Jamhuri dhidi ya maombi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic kuamua hatma Kiongera

>Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic atakuwa na kibarua cha kuchagua mshambuliaji mmoja kati ya nyota watatu wakakaotambulishwa katika tamasha la Simba Day.

 

10 years ago

BBCSwahili

Scotland kuamua ikiwa itajitenga au la

Wanasiasa wanaendelea na kampeini ya lala salama ya kura ya maamuzi ikiwa Scotland itajitenga na Uingereza au la .

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO kuamua Ebola janga la dunia

Shirika la afya ulimwenguni wanakutana Geneva Uswis kuamua iwapo Ebola kuwa janga la barani Afrika na dharura ya dunia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea yapiga kura kuamua

Watu wa Crimea waarifiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya maoni kuamua ikiwa wanataka kubaki Ukraine au wajiunge na Urusi

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya maoni kuamua muundo wa muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatima ya muundo wa muungano uliopo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani