Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ULITAKA KUTOKA AU MAFANIKIO KIMUZIKI? KWAKO,

Msanii chipukizi wa Bongo Fleva,'Mo Music' akipozi. Mo Music. Bila shaka u mzima wa afya na unaendelea na majukumu yako ya kila siku vyema. Kama ndivyo, kwangu ni furaha. Miye nipo sawa naendelea na mchakamchaka wa kusaka mkate wa kila siku. Kwa mara ya kwanza ninakuandikia barua, eneo ambalo huwa nalitumia kuwasiliana na wasanii mbalimbali wa Tanzania na watu maarufu kwenye jamii. Lengo ni kuwekana sawa ili sanaa yetu iendelee...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...

Tukiendelea na mada yetu kutoka pale tulipoishia wiki iliyopita, suala la kuchepuka ni la kupiga vita. Anayekuja kwako na vishawishi vya hapa na pale ndiye adui yako pale mambo yanapogeuka. Ukichepuka utamuumiza sana mwenzio, kisha nawe utaumia. Hii ni kwa sababu mateso ya mwenzi wako hayawezi kukupa ahueni. Kwa walio kwenye mapenzi ya dhati ni kwamba mwenzi wako anapoteseka, na wewe pia unakuwa kwenye mateso makali. Maana...

 

10 years ago

Bongo5

Nafasi ya kutoka kimuziki kupitia #AirtelTRACEStar bado ipo wazi

Umeshaimba wimbo wako? nafasi ya kutoka kupitia muziki bado iko wazi na shindano la kusaka vipaji la Airtel Trace Star, onyesha kipaji chako sasa kwa kupiga 0901002233 na uingie kwenye kinyanganyiro cha kuwa nyota wa muziki wa Afrika, na upate dili la kurekodi katika studio kubwa ya mziki nchini marekani ya universal music, chini ya […]

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Spika Makinda ulitaka afe nani?

KATIKA Biblia takatifu, kitabu cha Mhubiri 3:1-2 kinasema kila jambo lina majira yake, wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa. Nimelazimika kulijadili andiko...

 

10 years ago

Michuzi

mapacha kutoka Tanzania walioungana watenganishwa kwa mafanikio nchini India

Picture1-swahiliHospitali ya Apollo iliyoko nchini India imefanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike wa Tanzania Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni  katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini humo. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.Mapacha Abriana na Adriana awali ya upasuaji huo walikuwa wameunganika kuanzia chini ya kifua na...

 

9 years ago

Mwananchi

MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2

Katika mada hii ya namna ya kudumisha mafanikio yako, wiki iliyopita nilielezea juu ya dondoo za jinsi ya kutawala biashara yako ili isitetereke na kurudi nyuma.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukizubaa, imekula kwako

Yanga Simba, Mtibwa Sugar na Azam zinarejea katika Ligi Kuu Tanzania Bara leo, kesho baada ya kupumzika kwa wiki mbili zikishiriki mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

 

11 years ago

GPL

SNURA: WEMA NDIYO ALIYENITOA KIMUZIKI

Snura Mushi ‘Mama Majanga’. Stori: Gladness Mallya
MSANII wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ‘Mama Majanga’ ametoa ya moyoni na kumshukuru aliyekuwa rafiki yake wa damu, Wema Sepetu kwa kuwa ndiye aliyembunia vazi la muziki na fedha ya kurekodi wimbo wake wa kwanza.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani