Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UMASKINI WETU UMENIFANYA NIISHI KWA DAWA ZA KUPUNGUZA MAUMIVU

Janeth Mlahagwa akiwa na mama yake.
Makongoro Oging’ na Issa Mnally, Kibaha/UwaziJaneth Mlahagwa (18) ni mtoto mwenye ulemavu wa ngozi “Albino”, mkazi wa Kijiji cha Mtumbatu, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro ambaye anadai kwamba kifo kilimsonga kutokana na hali yake kuwa mbaya kila kukicha kwa kukosa matibabu na badala yake alikua akipewa vidonge vya kupunguza maumivu.Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni katika hospitali binafsi ya upasuaji wa mifupa na viungo cha Burere, wilayani Kibaha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

“UMASKINI WETU UMENIFANYA NIISHI KWA DAWA ZA KUPUNGUZA MAUMIVU”

Makongoro Oging’ na Issa Mnally, Kibaha/Uwazi
Janeth Mlahagwa (18) ni mtoto mwenye ulemavu wa ngozi “Albino”, mkazi wa Kijiji cha Mtumbatu, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro ambaye anadai kwamba kifo kilimsonga kutokana na hali yake kuwa mbaya kila kukicha kwa kukosa matibabu na badala yake alikua akipewa vidonge vya kupunguza  maumivu. Janeth Mlahagwa akiwa na mama yake. Akizungumza na gazeti hili hivi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MASHAYO JOSEPH: Ushauri umenifanya niishi kwa amani

“MIMI na mke wangu tunaishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), lakini kutokana na ushauri tuliopata kutoka kwa wataalamu wa afya tumefanikiwa kupata mtoto asiye na maambukizi.” Hayo ni maneno ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

SMZ yaipongeza UN kwa kuwezesha fursa za kupunguza umaskini na kuinua maendeleo visiwani humo

IMG_9022

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (katikati) wakimkaribisha mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe za kutimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Shangani Mjini Zanzibar mwishoni mwa wiki.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

SERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...

 

11 years ago

Michuzi

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania

 Wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira Endelevu wa Ukuaji wa Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania. . katika Ukumbi wa NIMRI  Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya  Mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira  Endelevu wa ukuaji wa  u chumi na kupunguza Umaskini  Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani...

 

11 years ago

Michuzi

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo

Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa ukuaji wa u chumi na kupunguza Umaskini Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani Kisimbo ni Kaimu Mkurungezi wa Idara ya Mazingira na wadau wa Taasisi mbalimbali. wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa...

 

11 years ago

GPL

NJIA YA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA-2

MTAALAMU Joanne Lally kutoka Chuo Kikuu cha Afya ya Jamii cha Newcastle na timu yake waliweza kubainisha mambo mengi ya msingi kuhusu uzazi salama, lakini kubwa kabisa ni faida za kumfariji mzazi mtarajiwa kabla ya wakati wa kujifungua. Kasoro kubwa ya wakunga na walezi wengi wanaohudumia wajawazito ni kuwavunja moyo na kutowajali, jambo ambalo huchangia matatizo wakati wa uzazi. Nakumbuka nilimuuliza dada Husna (si jina lake...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania Yafanikiwa Kupunguza Uingizaji wa Dawa za Kulevya Nchini kwa 90%.

Na. Immaculate Makilika- MAELEZO

Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini.

Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama alisema kuwa tatizo la dawa za kulevya katika jamii ni suala...

 

11 years ago

GPL

NJIA INAYOWEZA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA

NIMEWAHI kusoma habari za mkunga Kim Hildebrand Cardoso kutoka Berkeley, California nchini Marekani kuhusiana na uchungu waupatao wanawake wakati wa kujifungua na vifo vitokanavyo na uzazi. Ingawa sina cheti cha utabibu niliamua kujikita katika uchunguzi ili nijue kwanini akina mama wengi hasa Tanzania hupata matatizo wakati wa kujifungua? Nilichogundua ni kwamba karibu kila msichana mwenye umri wa kuweza kubeba ujauzito...

 

10 years ago

Michuzi

TASAF yazindua Miradi ya kupunguza umaskini Njombe

Halmashauri 13 za Mikoa ya Njombe na Arusha zinaanza kunufaika na miradi ya kupunguza Umaskini ya OPEC Awamu ya tatu kwa Watu takribani Milioni 3.1 utakaotekelezwa kwa Miaka Mitatu kati ya January 2015 na Desemba 2017.
Hayo yameelezwa mapema leo hii na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, IKULU  bwana Peter Ilomo wakati akizindua kikao kazi cha kuanza kwa Viongozi na Watendaji  wa Mkoa Njombe juu ya utekelezaji wa miradi hiyo ya kupunguza umaskini kwa ufadhili wa OPEC awamu ya tatu. Bw. Ilomo amesema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani