UMASKINI WETU UMENIFANYA NIISHI KWA DAWA ZA KUPUNGUZA MAUMIVU
Janeth Mlahagwa akiwa na mama yake.
Makongoro Oging’ na Issa Mnally, Kibaha/UwaziJaneth Mlahagwa (18) ni mtoto mwenye ulemavu wa ngozi “Albino”, mkazi wa Kijiji cha Mtumbatu, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro ambaye anadai kwamba kifo kilimsonga kutokana na hali yake kuwa mbaya kila kukicha kwa kukosa matibabu na badala yake alikua akipewa vidonge vya kupunguza maumivu.Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni katika hospitali binafsi ya upasuaji wa mifupa na viungo cha Burere, wilayani Kibaha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/P1afYajBhxA-QsL6gmHn7vUT9NHMsuxjJPTMDiudyjtpVUb65QvhKh2QC70Ly*w4cG5xIWqZoNoLXHy822jF*YntAeQO6fjx/albino.jpg)
“UMASKINI WETU UMENIFANYA NIISHI KWA DAWA ZA KUPUNGUZA MAUMIVU”
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
MASHAYO JOSEPH: Ushauri umenifanya niishi kwa amani
“MIMI na mke wangu tunaishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), lakini kutokana na ushauri tuliopata kutoka kwa wataalamu wa afya tumefanikiwa kupata mtoto asiye na maambukizi.” Hayo ni maneno ya...
9 years ago
Dewji Blog21 Oct
SMZ yaipongeza UN kwa kuwezesha fursa za kupunguza umaskini na kuinua maendeleo visiwani humo
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (katikati) wakimkaribisha mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe za kutimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Shangani Mjini Zanzibar mwishoni mwa wiki.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
SERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Michuzisemina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d19BbjqVdzFBe3KlQY2olRzW17WOkmZbbzJyqYQkp6Mu1U5c*qI8FeVVytyGyqnx0ydzw2gQjxg6LuG4nsf6bSq/dadbirth620x349.jpg)
NJIA YA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA-2
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s72-c/img_0532.jpg)
Tanzania Yafanikiwa Kupunguza Uingizaji wa Dawa za Kulevya Nchini kwa 90%.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s400/img_0532.jpg)
Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini.
Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama alisema kuwa tatizo la dawa za kulevya katika jamii ni suala...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1Jrfjr38kY*TOYHVen3kzgjsWYjK9rCN128qoez9sW7CwT9VT-7ZtcQTzHcIYFC9nTJ432uE3qb2-rGdzumJb4/pain.jpg?width=650)
NJIA INAYOWEZA KUPUNGUZA MAUMIVU WAKATI WA KUJIFUNGUA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WUeP2wEX-UY/VXnEltXDM-I/AAAAAAAC6To/mvkpaAzTD54/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF yazindua Miradi ya kupunguza umaskini Njombe
Hayo yameelezwa mapema leo hii na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, IKULU bwana Peter Ilomo wakati akizindua kikao kazi cha kuanza kwa Viongozi na Watendaji wa Mkoa Njombe juu ya utekelezaji wa miradi hiyo ya kupunguza umaskini kwa ufadhili wa OPEC awamu ya tatu. Bw. Ilomo amesema...