Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yaonya kukosekana misaada Ukraine

Umoja wa mataifa umeonya juu ya hali mbaya ya kukosekana misaada ya kibinadamu huko mashariki ya Ukraine.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hawala:Mashirika ya misaada yaonya

Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia.

 

11 years ago

BBCSwahili

EU yaonya Urusi isiingie Ukraine

EU imeonya Urusi isitume majeshi yake ndani ya Ukraine kwa kisingio cha kutoa misaada.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kutoivamia Ukraine

Marekani imeionya serikali ya Moscow isithubutu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Ukraine

 

11 years ago

Habarileo

'Kukosekana wataalamu wa elimu ya biashara ni kikwazo'

KUKOSEKANA kwa wataalamu wa elimu ya kibiashara kumetajwa kuwa changamoto kubwa inayokwamisha maendeleo ya biashara nchini. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Vyuo vya Elimu ya Biashara (CBE), Profesa Emanuel Mjema alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za CBE tawi jipya la Mbeya hivi karibuni.

 

11 years ago

Habarileo

Chanzo cha kukosekana maendeleo ya haraka chatajwa

UKOSEFU wa midahalo miongoni mwa Watanzania kuhusu uongozi na utawala bora imeelezwa kusababisha kukosekana kwa maendeleo katika sekta mbalimbali nchini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kukosekana kwa Huduma ya Maji jijini Dar

dawasco-aug20-2013(1)(1)

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), limetangaza tatizo la upatikanaji  wa huduma ya Maji katika maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa kuzalisha Maji wa Ruvu chini pamoja na baadhi ya maeneo ya Mji wa Bagamoyo mkoani Pwani kutokana  na mtambo huo kuzimwa kwa wastani saa 24 siku ya Jumapili tarehe 13/12/2015.

Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni  kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.

Akiongea...

 

11 years ago

GPL

Ehh! Wafurahia Diamond kukosekana msiba wa Gurumo

Marehemu Muhidin Gurumo(kushoto) na Nasibu Abdul ‘Diamond’. Na Hans Mloli
HALI ya kustaajabisha imetokea hivi karibuni katika msiba wa nguli wa muziki wa dansi, Muhidin Gurumo baada ya baadhi ya watu waliohudhuria kwenye mazishi hayo kufurahishwa na Nasibu Abdul ‘Diamond’ kutokuwepo kwenye shughuli hiyo. Msiba huo uliofanyika nyumbani kwa marehemu Mabibo jijini, ulihudhuriwa na watu wengi maarufu...

 

9 years ago

StarTV

Kukosekana kwa mfumo mzuri kwawanyima haki Watoto.

Kukosekana kwa mfumo mzuri wa ushirikishwaji wa watoto nchini katika masuala ya maendeleo ya halmashauri za miji, majiji na kutotengewa bajeti kumechangia watoto hao kutopata haki zao za msingi.

Kutokana na hali hiyo, viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza, wadau na jamii kwa ujumla wanapaswa kuhakikisha watoto wanapata haki za msingi kwa mujibu wa sheria.

Mwenyekiti mtendaji wa shirika la mtandao wa watoto na vijana mkoani Mwanza  Shaban Ramadhan  ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mshtakiwa namba moja kukosekana kesi ya twiga hai

Moshi. Kesi ya kutorosha wanyamapori hai 152 wakiwamo twiga wanne kwenda Uarabuni inatarajiwa kuunguruma leo bila kuwapo kwa mshtakiwa namba moja, Kamran Ahmed.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani