URAISI
Tunaendelea kusikia majina ya watu waliotamka au wanaotajwa kutaka kugombea urais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mengi kati ya majina haya ni mzaha mwingine mkubwa unaotunyemelea baada ya mizaha mingi ambayo tunahangaika nayo katika maisha ya kila siku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0hpbUazpq3klQqfQk*CuNRRCOiylV*fdBKXx86KbgGzAVxAINUUdtzXoGXI14ClGRc9NEg9KfMoFuk3QP0jiUy/BACKIJUMAA.jpg)
BETHIDEI YA MGOMBEA URAISI MH!
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Afrika na Blatter uraisi FIFA
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Mzee Jangala Kugombea Uraisi
Staa mkongwe wa filamu nchini, Bakari Mbelemba maarafu kwa jina la Mzee Jangala ameweka wazi kua atatumia tamasha la ngoma za asili kutangaza nia yake ya kugombea uraisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Tamasha hilo amabalo litafanyika tarehe 13 juni kwenye uwanja wa Taifa na Makamu wa raisi DR Mohamed Gharib Bilal amealikwa kuwa mgeni rasmi.katiaka mahojiano mzee Jangala alisema”nimepanga kutangaza nia ya kugombea uraisi siku hiyo kwenye uwanja wa taifa mbele ya makamu wa raisi, najua...
10 years ago
VijimamboTofauti Kati ya Mrema na Lowasa Kwenye Ugombea Uraisi
Tofauti kati ya Mrema na Lowasa wote wakiwa wametokea CCM na wote wakiwa wagombea uraisi kupitia upinzani walikoingia bila kujua sera za vyama walivyoingia kwa kuwa waliingia chap chap ni kama ifuatavyo1.Mrema alikuwa akiungwa na makundi ya wasomi waliobobea wakiwemo maprofesa walikuwa tayari kumbeba na kusukuma gari lake kuonyesha upendo wao kwake.Lowasa wasomi wamekaa naye mbali wengi hata kumsikia hawataki kuanzia wasomi wakubwa hadi wadogo.Slaa alikuwa kipenzi cha wasomi
2.Mrema aliungwa...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-bjK5j6_un8M/VWsrxTS0-EI/AAAAAAAAB1o/tLmx6FFjsqI/s72-c/Lowassa-Matumaini.jpg)
HIVI NDIVYO LOWASSA ALIVYOTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-bjK5j6_un8M/VWsrxTS0-EI/AAAAAAAAB1o/tLmx6FFjsqI/s400/Lowassa-Matumaini.jpg)
Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid katikati ya Jiji la Arusha ulishuhudia kwa mara nyingine kujaa kwa watu ambao walikuja kushuhudia Mbunge huyo akitangaza nia ya kugombea Urais mwaka...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BBIzZGYFuXs/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-IX900rs5XnY/VWnT1J_wx8I/AAAAAAAB9Y4/plxeS1RrqTc/s640/DSC_0263.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uANnM64RMMY/VWnSOHczWtI/AAAAAAAB9YI/KV9kPhAU4dc/s640/DSC_0242.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Sep
MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM
Assalamu alaikhum Ndugu Wazanzibari wa Ndani na Nje ya Visiwa Vyetu. Assalamu Alaikhum Ndugu Watanganyika Wa Ndani na Nje Ya Nchi Yetu. Assalamu alaikhum Watanzania Wote Kwa Ujumla Wenu.. Ama mimi sina budi ila Kumshukuru Allah […]
The post MTANZANIA ZINDUKAAA!!!!CCM WATAPA-TAPA: “TUNAWEZA” Ni Matokeo ya Mbio za Uraisi Ndani ya CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Sep
Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?
Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]
The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.