USIFAKAMIE MAPENZI ETI UNAONDOA ‘STRESI’!
KARIBU mpenzi msomaji wa XXLove tupeane elimu ya mapenzi ambayo tunaamini ‘yana-rani’ dunia. Wiki iliyopita tulizungumzia mpenzi ambaye akipendwa inakuwa ni karaha, akichuniwa pia inakuwa ni shida, sijui anataka afanyiwe nini? Leo nitazungumzia baadhi ya watu kufanya faragha kuwa ni sehemu ya kuondoa ‘stresi’ (msongo). Kama ulikuwa hujui, kwa taarifa yako hata faragha yenyewe haihitaji stresi, sasa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Aug
USIFAKAMIE MAPENZI ETI UNAONDOA ‘STRESI’!
Leo nitazungumzia baadhi ya watu kufanya faragha kuwa ni sehemu ya kuondoa ‘stresi’ (msongo).
Kama ulikuwa hujui, kwa taarifa yako hata faragha yenyewe haihitaji stresi, sasa unakuwa mtu wa ajabu unapofanya mapenzi kwa maana ya kuondoa stresi. Huwezi kufanya jambo hilo...
10 years ago
Vijimambo03 Feb
UNAAMBIWA MGANGA ANASWA LIVE GUEST NA WAKE ZA WATU USIKU WA MANANE...ETI ANAWAPA DAWA YA MAPENZI.
Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi akijutia baada ya kunaswa live. Tukio hilo la aina yake lilijiri maeneo hayo, usiku wa manane wa kuamkia Jumanne iliyopita, wakati waumini wa Dini ya Kiislamu waliofunga kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakila daku.
Kwa mujibu wa mashuhuda, jamaa huyo alidaiwa kuwa alikuwa akiwafanyia wake hao wa watu dawa ya mapenzi kwa kuwavua nguo zote kisha ‘kuwachezea’.Ama kweli uswazi hakuishi vijimambo! Mganga wa jadi almaarufu...
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.
Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni, Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa
“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...
11 years ago
GPLKILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?-2
11 years ago
GPLKILA SAA MAPENZI…MAPENZI…HIVI HAMNA MENGINE YA KUFANYA?
10 years ago
MichuziETI HII IMEKAAJE??
Nawasilisha picha mbili zilizopigwa kutoka Mazengo Street, Upanga (Chibuku, Faya),maana naona hawa Jamaa wa RAPID wanatupotosha na tukikosea trafiki wanatupiga faini. Tufanyeje?kwa mfano,picha hii inaonyesha hakuna kuingia Morogoro Road Kuelekea Ubungo.Alama ya Barabarani inaelekeza magari yote yanayotoka Mazengo kwanza lazima yanyooshe kwenda Barabara ya Msimbazi na baadae kuingia Morogoro Road kufuata mshale inavyo onyesha hapo pichani,wakati...
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Eti Kajala, P Funk Upya!
Kwamujibu wa gazeti la Visa, limeripoti kuwa kuna fununu kuwa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja anadaiwa kurudiana na mzazi mwenzake P Funk Majani ambaye ni mtayarishaji nguli wa muziki wa Bongo Fleva. <span 1.6em;"="">Hii ni kutokana ka bwana’ke amabe alimpora Wema Sepetu , CK kudaiwa kuishiwa mkwanja.
Licha ya kuwa Kajala bado yupo kwenye ndoa na mumewe anaesota gerezani, inadaiwa kwasasa anajipooza machungu na kushea mashuka ya hoteli na mzazi mwenzie P Funk. kwa mijibu wa gazeti...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Eti Wema, Aunt wapatana!
Waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel katika pozi.
Na MWANDISHI WETU
KITUKO! Katika hali isiyotarajiwa, waigizaji wa filamu wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wamepatana ghafla baada ya ugomvi wao wa muda mrefu.
Katika akaunti zao za mitandao ya kijamii, wawili hao walitupia picha wakiwa pamoja na furaha tele, baada ya hafla ya kukabidhiwa tuzo kwa wasanii zinazojulikana kama Nzumari Awards 2015, zilizofanyika Mombasa nchini Kenya,...