Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIJIDANGANYE, UBAHILI WAKO HAUWEZI KUKUPA MAFANIKIO!

Ndugu yangu, maisha ni fumbo kubwa ambalo hakuna ajuaye nini kitatokea sekunde mbili zijazo! Kila wakati huwa tuko katika fumbo hili. Ndiyo maana karibu kila kitu kitokeacho duniani huendelea kuwa kipya kwa sababu hakuna awezaye kujua nini kinaweza kutokea muda mchache ujao.
Jijengee utamaduni wa kusaidia wasiojiweza. Kwa kufanya hivyo, utakuwa unajiwekea kumbukumbu bora na njema sana. Hakuna uwekezaji mzuri katika maisha kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VIDOKEZO VINAVYOWEZA KUKUPA MAFANIKIO

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Dk. Reginald Mengi. KILA mara nimekuwa nikiwaeleza watu wangu wa karibu kuwa maisha yako ya baadaye yanaanza na kile unachokifanya leo. Kama wewe unatamani maisha ya kitajiri, basi msingi wake unakutegemea jinsi utakavyoanza kuujenga hivi sasa. Wapo baadhi ya watu wana ndoto za maisha mazuri na ya kitajiri kwa kutegemea yaje kama wanavyoota. Wengine utawasikia ipo siku watakutana...

 

11 years ago

GPL

USIJIDANGANYE, NDOA SIYO MAJARIBIO!-2

NDOA ni kitu chenye thamani kubwa sana katika maisha ya binadamu. Jambo na la msingi zaidi kwa wahusika ambao wanahitaji kuunganika katika ndoa ni upendo.
Lazima wote wawe wana hisia za kweli kutoka ndani ya mioyo yao. Ndoa si jambo la kukurupuka wala kuamua kuingia kwa maana ya kufanya majaribio. Siyo sahihi hata kidogo.
Wiki iliyopita nilianza kwa kueleza mambo ya msingi ya kuzingatia wakati ukimtaka mwenzi wa maisha yako....

 

11 years ago

GPL

USIJIDANGANYE NDOA SIYO MAJARIBIO!-3

LEO tunahitimisha mada yetu. Kuna baadhi ya marafiki huingia kwenye ndoa wakiwa na matumaini ya kujifunza – hata kama hana mapenzi na mwenzi wake. Hilo ni kosa kubwa. Hakuna kujifunza ndani ya ndoa. Wiki mbili zilizopita nilifafanua mambo mengi ya msingi lakini kubwa zaidi nilikazia kuwa, ndoa si tendo la majaribio. Linahitaji kujipanga na kuwa na uhakika na mwenzi unayekwenda kuungana naye.
Tuendelee kujifunza marafiki...

 

11 years ago

GPL

MSHAHARA MDOGO UNAWEZA KUKUPA UMILIONEA

KILA mmoja anawaza juu ya kuwa milionea. Sidhani kama yupo mtu ambaye asingependa kuwa na mafanikio ya kifedha duniani. Hata hivyo, wale wanaopata kipato cha chini, wameondoa mawazo yao katika uwezekano wa kuwa mamilionea, wanaona ni jambo lisilowezekana. Lakini nawathibitishia kwamba uwezekano huo upo, tena mkubwa. Ipo mishahara ambayo watu wanapata, ambayo kwa akili ya kawaida inakuaminisha kwamba ni ndoto ya mchana kuweza...

 

11 years ago

Mwananchi

Usijidanganye kuamini kuwa unajua kila kitu

Wakati fulani nilikuwa kwenye semina moja ya ndoa, Arusha. Katika mchakato wa semina hiyo, nilikutana na wanandoa na mmoja alipenda tukutane, lakini mwingine hakuona ulazima wa kufanya hivyo.

 

9 years ago

Bongo5

Mr Blue aupiga kibuti ubahili, awekeza kwa mara ya kwanza kwenye video yake ‘Baki Nami’

blue

Mr Blue Kabayser ana video nyingi alizowahi kufanya lakini amekiri kuwa video mpya ‘Baki Nami’ ndio ya kwanza kuwekeza pesa yake mwenyewe.

blue

Blue amesema kuwa kazi zote zilizopita amekuwa akifanya kwa ‘kuunga unga’ na kusaidiwa na washikaji zake bila yeye kutoa chochote, kitu ambacho kilisababisha asiwe anapata kazi bora.

Ameongeza kuwa ‘Baki na Mimi’ ndiyo video iliyomsumbua kukamilisha visa vyote alivyoviimba, sehemu ya gharama ikiwa ni kukodisha limousine yenye gharama ya shilingi milioni...

 

9 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI #RECRUITME INAVYOWEZA KUKUPA UJUZI UTAKAOKUSAIDIA KUPATA KAZI UITAKAYO

Na Jamiimojablog Ujuzi, katika soko la ajira ni mali ambayo inahitaji matengenezo na uboreshaji. Kama mali nyingine yoyote, matumizi yake bora, hukuzalishia zaidi. Sababu nyingi zimetolewa katika kipindi cha miaka mingi kwamba kuna utofauti wa wazi baina ya mtu mwenye elimu aliyeko kazini na mwenye elimu bila kazi. Utofauti huo ni jinsi ujuzi wa watu hao wawili unavyotumika.


Vijana wengi wa Tanzania wana ujuzi waliopata kutokana na mafunzo mbalimbali, lakini baadhi yao kushindwa kutumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtindo huu hauwezi kutoa katiba ya wananchi

KUPINGWA kwa mchakato wa katiba mpya unaoendelea mjini Dodoma  na makundi mbalimbali ya wanajamii, ni ishara tosha kwamba mtindo wa uendeshaji wa Bunge Maalumu la Katiba (BMK) unaotumika hauwezi kutoa...

 

11 years ago

GPL

UMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3

KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani