Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USTADH ALIVYOMCHINJA MTOTO

Stori: Waandishi Wetu
KUFUATIA tukio la Ustadh Mohamed Said Ngulangwa (36), mkazi wa Mbagala-Charambe jijini Dar kumchinja mtoto Jamal Salum Ally (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano kisha na yeye kuuawa na wananchi wenye hasira, Uwazi kama kawaida yake lilichimba tukio hilo na kubaini mengi, twende pamoja. MTOTO AITWA, AENDA
Akizungumza na Uwazi Jumamosi iliyopita msibani Mbagala juzi, mtoto mmoja (jina lipo) alisema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE

Stori: Mwandishi Wetu, KAHAMA
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Majengo, Kahama mkoani Shinyanga, Said Siraji (13) anaendelea vizuri katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama alikolazwa baada ya kunusurika kifo kwa kuchinjwa shingoni na baba yake mzazi kwa madai ya kushindwa kumtibu mtoto huyo kwa matatizo yake ya afya. Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Dokta Joseph Fwoma alisema Said anaendelea vizuri baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Palasa wa TPBC awashutumu Mlundwa, Ustadh

Rais wa Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), Chaurembo Palasa amewataja viongozi wa ngumi wa PST na TPBC, Emmanuel Mlundwa na Yassin Abdallah ‘Ustadh’ kuwa vinara wa kuvuruga mchezo huo nchini.

 

10 years ago

GPL

BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE DAR!

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
HUU ndiyo ukatili wa kutisha kufanywa na baba kwa mtoto wa kumzaa mwenyewe!
Ilikuwa vilio na simanzi kwa wakazi wa Mabibo Loyola jijini Dar kufuatia mtoto  wa mwaka mmoja, William Kasuga kuchinjwa hadi kichwa kutengana na kiwiliwili kitendo kinachodaiwa kufanywa na baba yake mzazi, Maneno Kasuga, Uwazi lina mkasa wote wa kusikitisha. Mtoto William Kasuga enzi za uhai wake. Tukio hilo...

 

11 years ago

GPL

MWINJILISTI ALIVYOMCHINJA MKE, NAYE KUJINYONGA

Stori: Gladness Mallya na Imelda  Mtema, Bagamoyo
YULE Mwinjilisti wa Kanisa la Angilikana lililopo Kijiji cha Gama Makaani wilayani Bagamoyo, Pwani, Elikia Daniel (35) aliyemuua mkewe Mboni Patrick (28) kwa kumchinja  kikatili naye kujinyonga, simulizi yake inashangaza. Baada ya mauaji hayo, waandishi wa Uwazi walikwenda kwenye kijiji hicho kilichopo kilomita 100 kutoka jijini Dar es Salaam na kukutana na ndugu, jamaa,...

 

9 years ago

Vijimambo

USTADH MASOUD MAFTAH AKIWA VIWANJA VYA JANGWANI

Ustadh Masoud Maftah akiwa viwanja vya jagwani  sambamba na  mgombea urais kupitia chama tawala CCM dkt Magufuli, hapa ustadh maftah akipata ukodak  na mwanachama wa ccm aliekunywa maji ya bendera.Ustadh Masoud Maftah ambae pia ni mwenyekiti wa CCM Conventional Club akipata ukodak viwanja vya Jangwani wakati wa kufunga kampeni za ccm mkoa wa Dar-es-Salaama.

 

10 years ago

GPL

HIVI NDIVYO MUME ALIVYOMCHINJA MKEWE HOTELINI

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa/Uwazi
HUU ni ukatili namba moja kwa wanandoa duniani! Bado picha haijatoka kichwani kwa wakazi wa Manzese jijini Dar kufuatia kifo cha kuchinjwa cha  Josephine Ndengaleo Mushi kinachodaiwa kufanywa na mume wake wa ndoa, Remy Joseph (35). Remy Joseph (35) anayetuhumiwa kumuua mke wake, Josephine Ndengaleo Mushi. Tukio hilo la kutisha kusimuliwa achilia mbali kuona, lilijiri saa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mtoto wa Lamar (Nisha) na mtoto wa Gelly wa Rhymes (Queen) nani mrembo zaidi?

Producer wa Fishcrab, Lamar na muimbaji Gelly wa Rhymes, ni miongoni mwa mastaa wenye watoto. Bahati nzuri wawili hao wana watoto wa kike warembo kweli kweli. Na sasa tunakuuliza, nani mrembo zaidi? Nisha wa Lamar au Queen wa Gelly? Queen Nisha Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani