Utafiti:Ulaji wa miraa unapunguza nguvu za kiume
Utafiti uliofanywa na wahadhiri wa chuo kikuu cha Moi nchini Kenya umebaini kuwa ulaji wa miraa unaathiri nguvu za kiume
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?
9 years ago
Bongo531 Dec
Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70
![Anorgasmia](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Anorgasmia-300x194.jpg)
Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.
Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.
Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.
Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuull2pqWwTIMLABcUSnnPpDrydGxJ8Hwp9NQwPEi8hdLduhW2KZtWgJKsrXyjpq6ZzXIjSlgQSqIcRVksCJvwXaKR/UnhappyCoupleTheTrent.jpg?width=650)
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5bOMhfTDJqk/VZpT4lVbNLI/AAAAAAAHnPc/95ca328KzD4/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
IJUE SAYANSI YA NGUVU ZA KIUME
![](http://3.bp.blogspot.com/-5bOMhfTDJqk/VZpT4lVbNLI/AAAAAAAHnPc/95ca328KzD4/s1600/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania26 Mar
‘Vijana wengi hawana nguvu za kiume’
Patricia Kimelemeta na Asifiwe George
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.
Alisema hali hiyo,imesababisha vijana hao kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Mitindo ya maisha na upungufu wa nguvu za kiume
11 years ago
Habarileo31 Jul
‘Simu, kompyuta hupunguza nguvu za kiume’
WATANZANIA wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Nguvu zangu za kiume zimepungua, nifanyeje?