Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti:Ulaji wa miraa unapunguza nguvu za kiume

Utafiti uliofanywa na wahadhiri wa chuo kikuu cha Moi nchini Kenya umebaini kuwa ulaji wa miraa unaathiri nguvu za kiume

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,miraa inaongeza nguvu za kiume?

Mwakilishi wa wanawake katika eneo la Meru huko Kenya Florence Kajuju ameanza mpango wa kuwahamasisha wanaume kutumia miraa

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Upungufu wa nguvu za kiume huongeza hatari ya kupoteza maisha mapema kwa asilimia 70

Anorgasmia

Ni kitu kinachofedhehesha ambacho huathiri shughuli ya mwanaume kitandani.

Anorgasmia

Lakini sasa, wanasayansi wameonya kuwa upungufu wa nguvu za kiume ambao kitaalam hujulikana kama (erectile dysfunction) unaweza kuwa na athari katika maisha ya mwanaume.

Wamebaini kuwa wanaume wenye matatizo hayo wana asilimia 70 ya kufa mapema. Hii ni kwasababu tatizo hilo lina uhusiano na magonjwa ya moyo.

Kwa kawaida, upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ukichukuliwa kama kitu kinachoathiri watu wenye umri mkubwa....

 

10 years ago

GPL

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo hili kwa kawaida huwapata watu wenye umri mkubwa hasa kuanzia umri wa miaka sitini na wagonjwa wenye magonjwa sugu kama shinikizo la damu, kisukari, kansa, kifua kikuu, ukimwi na wale wanaotumia madawa kwa muda mrefu. Mfano baadhi ya dawa za shinikizo la damu, moyo, kansa, vidonda vya tumbo na nyingine nyingi ambazo hazijafanyiwa uchunguzi wa kisayansi hasa baadhi ya dawa za asili huweza kukuathiri kabisa badala ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Vyakula vinavyoimarisha nguvu za kiume

Tunaendelea na sehemu ya pili ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume, Vyakula vya nafaka ambavyo vimesheheni nishati nyingi, nafaka zina nyuzinyuzi (fibre) na sukari ambazo kusaidia kutunza uzito wa mwili.

 

10 years ago

Michuzi

IJUE SAYANSI YA NGUVU ZA KIUME


Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifuHATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUMEIli  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili ...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Vijana wengi hawana nguvu za kiume’

Dk. mwelePatricia Kimelemeta na Asifiwe George
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR),imesema vijana wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea, wanaongoza kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,Mkurugenzi wa NIMR,Dk.Mwele Malecela alisema kwa sasa tatizo hilo ni kubwa ambalo linawakumba vijana wengi hususan barani Afrika.
Alisema hali hiyo,imesababisha vijana hao kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume aina ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mitindo ya maisha na upungufu wa nguvu za kiume

Wanaume wana kawaida ya kupenda kufahamika kwa umahiri wao kimwili na matokeo yake hujiita kwa majina mbalimbali.

 

11 years ago

Habarileo

‘Simu, kompyuta hupunguza nguvu za kiume’

WATANZANIA wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nguvu zangu za kiume zimepungua, nifanyeje?

Nina umri wa miaka 33, tatizo langu ni kupungua nguvu za kiume je, ni sawa kupungua katika umri huu?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani