Utafiti:Wananchi wanaunga mkono Rasimu
Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Taasisi ya Twaweza umebainisha kuwa wananchi wanaunga mkono kwa kiwango kikubwa Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Joseph Warioba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jun
Asilimia 84 ya wananchi wanaunga mkono kifungu cha sheria ya upatikanaji wa habari
Haya ni matokeo ya utafiti uliofanywa na Twaweza wenye jina, Machoni mwa Umma: Maoni ya wananchi kuhusu upatikanaji wa...
10 years ago
Vijimambo
SHIRIKISHO LA MUZIKI TANZANIA (TMF) LAUNGA MKONO MABADILIKO YA RASIMU YA KATIBA


Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), limeunga mkono rasimu ya mabadiliko ya katiba kwa kile walichodai kuwa kimegusa maslahi yao hivyo wataipigania kwa nguvu zote...
10 years ago
GPL28 Jan
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi
BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wananchi Serengeti waikumbuka rasimu ya pili ya Jaji Warioba
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wananchi waeleza mafanikio ya utafiti kiraghbishi wa TGNP
Baadhi ya wanaharakati ngazi ya jamii wakielezea mafanikio ya utafiti wa kiraghbishi unaofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika maeneo yao ulivyokuwa chachu ya baadhi ya mabadiliko kwenye mkutano jijini Dar es Salaam.
Bi. Marjorie Mbilinyi mwanachama wa TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina ya kutathimini utafiti wa kiraghbishi uliofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika baadhi ya kata za mikoa ya Morogoro, Shinyanga,...
11 years ago
GPL
WANANCHI WAELEZA MAFANIKIO YA UTAFITI RAGHBISHI WA TGNP
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu
10 years ago
Habarileo08 Sep
Wananchi waunga mkono kampuni kununua kahawa
WANANCHI wa Wilaya wa Ngara, mkoani Kagera wameiomba Serikali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Kampuni ya Arab Globe International wilayani humo, kununua na kusindika kahawa ya unga kwani imekuwa msaada mkubwa kwao.