Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti:Wananchi wanaunga mkono Rasimu

Utafiti uliofanywa hivi karibuni na Taasisi ya Twaweza umebainisha kuwa wananchi wanaunga mkono kwa kiwango kikubwa Rasimu ya Katiba iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Joseph Warioba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Asilimia 84 ya wananchi wanaunga mkono kifungu cha sheria ya upatikanaji wa habari

15 Juni 2015, Dar es Salaam: Asilimia 84 ya wananchi wanaunga mkono kifungu cha sheria ya upatikanaji wa habari. Wananchi nane kati ya kumi wanaamini taarifa za mamlaka za umma zinapaswa kupatikana kwa wananchi wa kawaida (77%). Wengi wanaamini upatikanaji wa taarifa utasaidia kupunguza ama kuzuia rushwa na vitendo vingine viovu vinavyofanywa na viongozi wa umma (80%).

Haya ni matokeo ya utafiti uliofanywa na Twaweza wenye jina, Machoni mwa Umma: Maoni ya wananchi kuhusu upatikanaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKISHO LA MUZIKI TANZANIA (TMF) LAUNGA MKONO MABADILIKO YA RASIMU YA KATIBA

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Kasimu Mapili (kulia), akiimba wakati Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), Addo Novembar (kushoto), alipozungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akilipongeza Bunge la Katiba kwa kuingiza katika katiba vipengele vitatu vinavyolinda maslahi ya wanamuziki.
Shirikisho la Muziki Tanzania (TMF), limeunga mkono rasimu ya mabadiliko ya katiba kwa kile walichodai kuwa kimegusa maslahi yao hivyo wataipigania kwa nguvu zote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge halina mamlaka kupigia kura rasimu ya wananchi

BUNGE Maalumu la Katiba linaloendelea mjini Dodoma halina mamlaka ya kupigia kura rasimu ya wananchi kwa kuwa sio tu hawajatokana na wananchi bali pia yale ni maoni ya wananchi. Bunge...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi Serengeti waikumbuka rasimu ya pili ya Jaji Warioba

Baadhi ya wananchi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa escrow juzi, katika mji wa Mugumu wilayani Serengeti, Mkoa wa Mkoa wa Mara walikumbuka Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotupwa iliyokuwa ikitenganisha mihimili, hasa baada ya Spika Anna Makinda kuyumba kwa kuhofia mgongano wa mihimili na kusababisha kuvunjika kwa kikao cha Bunge.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waeleza mafanikio ya utafiti kiraghbishi wa TGNP

IMG_0053

Baadhi ya wanaharakati ngazi ya jamii wakielezea mafanikio ya utafiti wa kiraghbishi unaofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika maeneo yao ulivyokuwa chachu ya baadhi ya mabadiliko kwenye mkutano jijini Dar es Salaam.

IMG_0057

Bi. Marjorie Mbilinyi mwanachama wa TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika semina hiyo.

IMG_0042

Baadhi ya washiriki wa semina ya kutathimini utafiti wa kiraghbishi uliofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika baadhi ya kata za mikoa ya Morogoro, Shinyanga,...

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WAELEZA MAFANIKIO YA UTAFITI RAGHBISHI WA TGNP‏

Baadhi ya wanaharakati ngazi ya jamii wakielezea mafanikio ya utafiti wa kiraghbishi unaofanywa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) katika maeneo yao ulivyokuwa chachu ya baadhi ya mabadiliko kwenye mkutano jijini Dar es Salaam. Bi. Marjorie Mbilinyi mwanachama wa TGNP Mtandao akiwasilisha mada katika semina hiyo. Baadhi ya washiriki wa… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Utafiti: Wananchi wanataka gesi isaidie afya, elimu

Utafiti mpya umeonyesha kuwa asilimia 80 ya wananchi wanataka mapato yatakayopatikana kwenye mauzo ya gesi asilia yatumike kwa ajili ya kuboresha huduma za afya na elimu.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi waunga mkono kampuni kununua kahawa

WANANCHI wa Wilaya wa Ngara, mkoani Kagera wameiomba Serikali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Kampuni ya Arab Globe International wilayani humo, kununua na kusindika kahawa ya unga kwani imekuwa msaada mkubwa kwao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani