Uturuki yathamini wanawake zaidi.
Raisi wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan,ametoa kauli kuwa wanawake hawako sawa na wanaume kutokana na tofauti zao za kimaumbile.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Uturuki kupokea misaada zaidi.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Turkey2343.jpg)
MILIPUKO YAUA WATU ZAIDI YA 52 UTURUKI
11 years ago
Bongo530 Jul
Makamu Waziri Mkuu wa Uturuki apiga marufuku wanawake kucheka hadharani
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake
9 years ago
StarTV26 Nov
Serikali yathamini mchango wa wafanyabiashara kwa Kusaidia Waliopata Majanga
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya amewataka wafanyabiashara kutambua kuwa Serikali inathamini mchango wao hasa pale wanapoungana na Serikali kuwasaidia wananchi wanapopatwa na majanga.
Mpesya amesema hayo alipokuwa akipokea mabati 112 na misumari ya bati kutoka kwa wafanyabiashara wa manispaa ya Songea kwa lengo la kuwasaidia wananchi walioezuliwa nyumba zao na upepo mkali ulioambatana na mvua na kuziacha familia 15 bila kuwa na mahali pa kuishi.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wanawake zaidi watekwa nyara Nigeria
10 years ago
Habarileo10 Feb
Wanawake zaidi ya 1,000 kuchunguzwa saratani
ZAIDI ya kinamama 1,000 wa Mkoa wa Dodoma wanatarajia kufanyiwa uchunguzi wa satarani ya matiti. Kazi hiyo itafanyika kwa muda wa siku tano katika viwanja vya Nyerere Square mjini hapa.
9 years ago
Mtanzania10 Sep
Wasanii wanaovutia zaidi wanawake wawapo jukwaani
NA RHOBI CHACHA
MUME wa mwigizaji mashuhuri duniani, Angelina Jolie, Brad Pitt, mwanamuziki anayeendelea kutamba na wimbo wa ‘Happy’, Pharrell William, Justine Beiber na wengine wengi waliwahi kutangazwa kuwa ndio wasanii wenye mvuto zaidi kwa wanawake nchini Marekani.
Hata hapa Tanzania makampuni mengi yamewahi kuendesha mashindano ya kushindanisha mvuto wa wasanii kwa namna tofauti, lakini sisi tumefanya uchunguzi kwa baadhi ya wasanii wa kiume wenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa kike...