VENNESSA MDEE ATWAA TUZO AFRIMA
Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee.
Na Gladness Mallya
MWANADADA anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee kwa mara ya kwanza amewatoa kimasomaso wasanii wa kike Bongo kwa kutwaa tuzo ya kimataifa za All Africa Music Awards ‘AFRIMA’ nchini Nigeria.
Akizungumza na paparazi wetu Vanessa ambaye amepata tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki alisema anawashukuru mashabiki kwa kuwa wameonesha moyo wa kumpigia kura mpaka kuwashinda wasanii...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Nov
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee washinda tuzo 4 za AFRIMA 2015 Nigeria
![d n v](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/d-n-v-300x194.jpg)
Tuzo za All Afrika Music Awards 2015 (AFRIMA) zimetolewa usiku wa Jumapili November 15 jijini Lagos, Nigeria ambapo Tanzania imetoa washindi wawili.
Diamond Platnumz aliyekuwa akiwania tuzo hizo ameibuka mshindi wa vipengele 3 kikiwemo kipengele muhimu cha Msanii Bora Wa Mwaka (Artist Of The Year) ambayo ilikuwa ikiwaniwa na Alikiba, Davido, Jose Chameleone, Wizkid, Yemi Alade, Sarkodie na Flavour.
Vipengele vingine alivyoshinda Diamond ni Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki (Best...
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-5JyIr5680AowG*f52hX4d4xiFN4DoXp462sQ-2z5VmfRBUvJ-RJmBS7XQbfUv6D7xNzFGTH3QSQRoRq1yUbmCY/DAVIDO.png)
TUZO ZA BET 2014: DAVIDO ATWAA TUZO YA BEST AFRICAN ACT
10 years ago
Bongo526 Sep
Vanessa Mdee atajwa kuwania ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014, kuchuana na 2 Face na Maurice Kirya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxve7ykrcsaRm3CZHyRkpBBgCR4UgDB8ykNZkFupjz*IjlVzlAbEv7BHpAaAXj4nFY5uvTMC0-bo7zFPdZ04kGuNm/msechu.jpg)
DIAMOND, VANESSA WASHINDA TUZO ZA 2014 AFRIMA HUKO NIGERIA
10 years ago
Bongo503 Oct
BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014
11 years ago
Bongo510 Jul
Video:Mpoto asema albam ya Waite imeingizia milioni 10, azungumzia kuhudhuria tuzo za ‘Afrima’ Marekani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZrXAovHTfMuMHfX3M8KYvBLU4hgwMJqAckJ0*O8Cvgfum7jeFplZg9IGzQIZJYBbAK*H-ApDa4B8czZ9qmnsg2/Diamond22.jpg?width=650)
DIAMOND ATWAA TUZO YA KORA
9 years ago
Bongo517 Nov
Alikiba anahisi kafanyiwa mchezo mchafu kwenye tuzo za AFRIMA baada ya kukosa zote alizokuwa ametajwa
![12120276_163762000643678_1906855536_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12120276_163762000643678_1906855536_n1-300x194.jpg)
Alikiba anahisi kuna mchezo mchafu unafanyika kwenye tuzo anazotajwa kuwania.
Muimbaji huyo alikuwa ametajwa kuwania vipengele vinne kwenye tuzo za Afrima zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria.
Kiba alitajwa kuwania Best Male Artist East Africa, Artist of The Year, Song of the Year na Song Writer Of The Year In Africa. Tuzo tatu kati ya hizi zimechukuliwa na Diamond waliyekuwa wametajwa pamoja.
Kupitia post aliyoweka kwenye Instagram, Alikiba amedai kuwa anaamini ‘kuna watu’...