Video:Mtoto aliyekafa na akafufuka wakati anapelekwa kuzikwa
Waombolezaji nchini Ufilipino walipatwa na mshituko, pale mtoto wa miaka mitatu aliyekuwa amekufa na kuzinduka wakati wanampeleka mazikoni. Kwa mujibu wa mtandao wa Mirror mtoto huyo kutoka Aurora, Zamboanga del Sur, alitangazwa kufa siku ya Ijumaa, na maziko kupangwa Jumamosi mchana. Lakini wakati wa shughuli ya msiba, ndugu na marafiki walishtushwa wakati mtoto huyo alipofufuka. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Mtoto aliyefariki baharini kuzikwa leo
11 years ago
Mwananchi03 Jun
‘Mtoto wa boksi’ kuzikwa leo, ndugu wa babake wajitokeza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d4Cf9y7rB4uU*dDafBejBSkuyvt1ZPMwWaVfQ73IwPjP5UebEK5nT9AAipokWdyTZSUEGCqbN6Tug721BiEcW2O/nasrah.jpg)
‘MTOTO WA BOKSI’ KUAGWA, KUZIKWA LEO MORO
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Mtoto Tabia Mkulukute apoteza maisha baada ya kugongwa na gari na kuzikwa leo Bunju ‘A’
Mtoto Tabia ambaye aliyegongwa na gari Pichani mwenye gauni la njano, enzi ya uhai wake.
Gari la Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge lilivyoharibiwa.
Ofisa Mtendaji Mtaa wa Bunju ‘B’ Abdillah Mkeyenge akizungumza na wanahabari mkasa ulivyo tokea kama alivyoona.
Maeneo ya jirani ya kituo hicho taswira ilivyokuwa ikionekana.
Wananchi wakiwa ng’ambo ya Barabara wakiangalia jinsi kituo kilivyochomwa moto.
Mwanahabari Jamaly Hashimu wa kituo cha TBC akipata taarifa...
10 years ago
GPLMTOTO TABIA MKULUKUTE ALIYEFARIKI JANA BAADA YA KUGONGWA NA GARI BUNJU 'A' , KUZIKWA LEO
11 years ago
CloudsFM02 Jun
MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI KWA MIAKA MINNE KUZIKWA KWA HESHIMA ZOTE,KUAGWA KATIKA UWANJA WA JAMHURI,MOROGORO
Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa miaka minne, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini.
Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa hospitali hiyo, Aminiel Aligaeshi.
Mwishoni...
10 years ago
Bongo Movies20 Jan
Wakati Wengine Wanakula Ujana Flora Mvungi Anatarajia Kujifungua Mtoto wa Pili Hivi Karibuni!
Mwigizaji wa filamu Flora Mvungi, ambae ni mke wa mwanamziki H.Baba anatarajia kujifungua mtoto wa pili hivi karibuni ikiwa ni moja ya mafanikio ya ndoa yao kwa mwaka jana.
H baba amabe ndio mumeo amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili.
Akizungumza na 255 ya XXL jana, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake.
“Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa...
11 years ago
Michuzi09 Mar
11 years ago
GPL28 Dec