VIJIMAMBO:Tiko Akataa Kuitwa Gogo
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo.
Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na paparazi wa GPL na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita gogo.
“Wee nani kasema? Sipendi kuitwa hivyo wakati mwenyewe najijua kabisa ninakuwaje pindi ninapokuwa na mpenzi wangu, najiamini...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8VtnT8DnL2B50R8xgKDQe-qKD7n6lhEJnVyrp6jNhZ8ymJJsvjpFzUClIEL6wMyyZ5zDUoYnVTquWXvdrFyLhrN/Tiko.jpg?width=650)
TIKO AKATAA KUITWA GOGO
Stori: laurent samata
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan. Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na paparazi wetu na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wHvrm0Ff4pNSGQ91CP2TKQ0G1AHM-9AT*drvaqSk4Ghz4sQBN1mC3834dHdwAa3lohIOD11myoa77R50py1aZCJ/SUZY.jpg)
SUZY AKATAA KUITWA BONGO MOVIE
Stori:Â Imelda Mtema
MSANII anayezidi kuja kwa kasi Bongo Movies, Happy Nyatawe ‘Suzy’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa kutokana na migogoro mbalimbali iliyokuwepo ndani ya Kundi la Bongo Movie, hata akipita njiani akiitwa kwa kutumia jina hilo hatogeuka. Msanii anayezidi kuja kwa kasi Bongo Movies, Happy Nyatawe ‘Suzy’ akipozi. Suzy alisema kutokana na ‘majanga’ kuwa mengi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhB83DHIYS0FKxtJKZwaEABh8PzFAB8yZl5ERjk4pGlLKAoYsJPIzq6EPJRccIN4xWyyrCKpGCCabmcL7punI7N/5.jpg?width=650)
ETI MKEO NI KAMA GOGO FARAGHA, KWA HIYO?
Wiki hii nataka kuzungumzia tabia f’lani ambayo imejengeka kwa baadhi ya wanaume ambayo kimsingi ni mbaya na haileti picha nzuri lakini naamini kwa kuandika kupitia safu hii, itasaidia kuwafanya wahusika wabadilike. Natambua umuhimu wa watu kukutana sehemu mbalimbali na kubadilishana mawazo, haijalishi ni eneo gani ambalo litatumika. Wapo ambao stori zao huzipigia baa na wengine maskani tu.Huko ndiko tunakojadili mambo...
10 years ago
Vijimambo10 Jan
RAIS KIKWETE AZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA MAKAZI YA WANAJESHI GOGO LA MBOTO, DAR ES SALAAM, LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-7KFsKS0d9y8%2FVLFP84XqB-I%2FAAAAAAADVJ4%2Fa87r4W1rUog%2Fs1600%2Fjw1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-59cldv2zpyg%2FVLFQC47rnQI%2FAAAAAAADVLE%2FbLBrZHqWUSw%2Fs1600%2Fjw2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMZg4E4qU15*vg9IRq-AuX-YyY83FVpcErrliYdz6ybDA9KL7sEASazw2rtr-RSW7Xqpv0lmYeGKRvqlwvh7h--Q/tiko.jpg)
TIKO ABONDWA
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
STAA wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan, hivi karibuni alionja joto ya jiwe baada ya kushushiwa kipigo kizito na hawara wake aliyetajwa kwa jina moja la Ally. Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan akiwa na jeraha la kipigo kutoka kwa hawara yake. Kwa mujibu wa chanzo makini, siku ya tukio Tiko alikuwa na Ally nyumbani kwake, Mwananyamala ndipo ghafla hali ya hewa ikachafuka baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2Mhd95G38x0-GPkRWVxbgB2h1C4Q-qpjz35gjBf2d7Tdzb1onFaqcoH2kfNgXbFdORBhuyddVqum7TGVnpQeQt/tiko.jpg?width=650)
TIKO ATESWA NA MKOROGO
Stori: Imelda Mtema MSANII wa Bongo Movies, Tiko Hassan amedaiwa kuteswa na madhara ya mkorogo kiasi cha kumfanya shindwe kutoka ndani. Msanii wa Bongo Muvi, Tiko Hassan katika pozi. Vyanzo makini vimedai, staa huyo amekuwa na weusi usoni kutokana na matumizi ya mkorogo. Alipoulizwa kuhusu ishu hiyo, Tiko alijibu: “Kweli nimejifungia ndani sana siku hizi yawezekana ndiyo sababu ya kuwa na weusi lakini si… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8bafTDVwiWzpW*maIXu24e175Mjic2OEGq6YzTVA6wb6KKL2CI**Rjt-Y9J3L6ccOc4Bwc*PTz9tW7UwGV6BmoM/Tiko.gif?width=650)
TIKO AMEKIMBIA NYUMBA YAKE
Gladness Mallya
MWANADADA kutoka tasnia ya filamu na muziki Bongo, Tiko Hassan ameikimbia nyumba aliyokuwa akiishi maeneo ya Mwananyamala jijini Dar kutokana na mambo ya kishirikina.Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Tiko alisema kuwa, ameamua kuihama nyumba hiyo licha ya kwamba kodi yake haijaisha kufuatia maruweruwe yaliyokuwa yakimpata nyakati za usiku. Mwanadada kutoka tasnia ya filamu na muziki Bongo, Tiko Hassan....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFmZnoFu29nGSSrJKkXHwtFALPq4NN5DJ7YHg3S99Xh0RGZg6eO4AF4QVe9IXXJBMdaOWGhlybtI3tTYF-GDUbki/Tiko.jpg)
TIKO: KAMPENI ZIMEUA SANAA
Na Gladness Mallya MWANADADA anayekuja juu katika filamu Bongo, Tiko Hassan amesema kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu zimechangia kuua sanaa ya filamu kwani wasanii wengi walijikuta wakijikita huko na kusahau kazi zao. Mwanadada anayekuja juu katika filamu Bongo, Tiko Hassan. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, Tiko alisema baada ya uchaguzi, wasanii wa filamu wana kazi nzito ya kuirudisha tasnia yao ambayo imefifia kutokana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jLAUjwV2sT3o-5jh3KO83cB*-LTCFueil8jywmI5jpCLY0n9l1Zr5ABiCuo3X7KGMj*LOwqaG6X*vTOVC7AoL8X/Tiko.jpg)
TIKO ATAMANI KUOLEWA NA BABU MWARABU
Deogratius Mongela Â
MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan ametoa ya moyoni na kusema kuwa kwa sasa yupo tayari kuolewa na babu Mwarabu ilimradi akitimiza mashariti yake. Msanii wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Akizungumza na Uwazi, Tiko alisema kwa sasa kama atatokea babu wa kumtolea posa, yupo tayari ila asiwe raia wa hapa bali awe Mwarabu maana vijana hasa wa Bongo sio waoaji ni wachezeaji. “Kila mwanamke...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania