VIONGOZI WA SERIKALI ZA VIJIJI WAFURAHIA MAFUNZO YA URAGHABISHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FHftLjNrwr0/VoDGcjsmvAI/AAAAAAAAXsM/HBc1Pr1X-MA/s72-c/N%252C%252C.bmp)
Baadhi ya wenyeviti toka Halmashauri ya wilaya ya Kishapu wakimsikiliza mkufunzi (hayupo pichani) wakati wa mafunzo ya uraghabishi yaliyofanyika wilayani hapo
Na Krantz Mwantepele
“Unakuja kwenye ofisi yangu na kutoa taarifa za ubadhirifu wa mtendaji wa kijiji. Nakuuliza, je umechukua hatua zipi kama kiongozi wa kijiji kabla kuja kwenye ofisi yangu? Unanijibu hapana, hii si sahihi,”
Hayo ni maneno ya mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Hashim Mgandilwa, aliyoyatoa wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mvDS5gR6I3o/VoNcLNcsM8I/AAAAAAAAXtw/aBOShEtkBwA/s72-c/1236143_172920136229682_1686983149_n.jpg)
WAKAZI WA WILAYA YA MBOGWE WAPATA UJASIRI WA KUTUMBUA MAJIPU BAADA YA MAFUNZO YA URAGHABISHI
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo hayo ya siku tatu, ambayo Fedson toka kijiji cha Shenda alibadilishwa na kuwa mraghbishi wa aling’amua uwezo alio nao...
10 years ago
GPLCHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIOMBA SERIKALI KUPELEKA VIONGOZI WAKE KUSOMEA MAFUNZO YA MAADILI NA UONGOZI
10 years ago
MichuziDC-HAI AWAKABIDHI MAJUKUMU VIONGOZI WA VIJIJI MBELE YA WANANCHI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
MichuziUWAJIBIKAJI WA VIONGOZI WA VIJIJI NI DHANA KUU YA KUTATUA KERO ZINAZOWAKABILI WANANCHI WANAO WAONGOZA
“Unakuja kwenye ofisi yangu na kutoa taarifa za ubadhirifu wa mtendaji wa kijiji. Nakuuliza, je umechukua hatua zipi kama kiongozi wa kijiji kabla kuja kwenye ofisi yangu? Unanijibu hapana, hii si sahihi,” Hayo ni maneno ya mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Hashim Mgandilwa, aliyoyatoa wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya wenyeviti wa vijiji, watendaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lPL0d_5TPqM/Xr06hiOqYiI/AAAAAAALqMo/JPKknIH_utsN7bH9ANsmiRtVSzruUX8WwCLcBGAsYHQ/s72-c/B32A9577.jpg)
Naibu Waziri Nyongo awataka viongozi wa vijiji kushiriki kutoa elimu ya uwekezaji sekta ya madini kupunguza migogoro
![](https://1.bp.blogspot.com/-lPL0d_5TPqM/Xr06hiOqYiI/AAAAAAALqMo/JPKknIH_utsN7bH9ANsmiRtVSzruUX8WwCLcBGAsYHQ/s640/B32A9577.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9560.jpg)
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda (shati ya draft) nyuma yao ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Fredy Mahobe na wajumbe wengine wakitoka kukagua jengo lililoandaliwa kwa ajili ya kufungua soko la madini la wilaya hiyo. (Picha na Wizara ya Madini).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9560.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/B32A9571.jpg)
9 years ago
StarTV21 Aug
Serikali za vijiji, mitaa, vitongoji zatakiwa kuwajibika
Serikali za vijiji, mitaa na vitongoji nchini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kuwatambua watoto wenye ulemavu katika maeneo yao ili kuhakikisha kuwa wanaandikishwa shuleni badala ya kuacha jukumu hilo kwa wazazi na walezi ambao baadhi yao wanawaficha majumbani kwa imani potofu.
Wito huo umetolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya walemavu mkoani Singida wanaotekeleza mradi wa My Rights wilayani Iramba baada ya kuwatambua watoto 15 wenye ulemavu ambao licha ya kuwa na umri wa kwenda shule...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VIJANA WAOMBA SERIKALI KUANZISHA VIJIJI VYA KILIMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_A8kbiMHNqY/XmD5qBVwXXI/AAAAAAALhOs/Qg-jMeVHT28lfF6m0AfkBv2aeKtk_DLEQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kqsBSiErKPM/XmD5qLal98I/AAAAAAALhOw/zEZrS6prQgEw654Kq_XFmPP2R5zTbE6yACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Vijiji, vitongoji vipya kushiriki chaguzi Serikali za mitaa
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Yona Maki, amesema jumla ya vijiji 151 na vitongoji 746 vitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Akizungunguza...
10 years ago
MichuziSERIKALI ZA VIJIJI ZATAKIWA KUHUSISHA MAAFA YA MABADILIKO YA TABIANCHI NA MIPANGO YA MAENDELEO