Viongozi watakiwa kumuezi Dk. Omar kwa vitendo
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umewataka viongozi wa kisiasa na kiserikali nchini kuiga kwa vitendo tabia ya ujasiri, uthubutu na ushupavu aliyokuwa nayo aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWananchi watakiwa kuuchukia uhalifu kwa vitendo
Hayo yalisemwa jana na Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki wakati alipokuwa akifungua semina ya siku moja katika ukumbi wa Nkurumah iliyokuwa na kauli mbiu ya Kataa uhalifu iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya Jeshi la Polisi na...
5 years ago
CCM BlogWANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...
9 years ago
StarTV22 Dec
Wananchi watakiwa kuwafichua wahalifu ili kupunguza vitendo hivyo
Jeshi la Polisi nchini limewataka wananchi kuchukia vitendo vya uhalifu kwa kuwafichua wahalifu ambao wanaishi nao majumbani mwao Ili kupunguza na kukomesha vitendo vya uhalifu hapa nchini
Wito huo umetolewa na naibu kamishina wa polisi na aliyekuwa kamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza Charles Mkumbo katika sherehe ya kuwaaga maofisa watano wa polisi waliohamishiwa mikoa mbambali wakitokea mkoa wa kipolisi wa Tarime na Rorya na kuwakaribisha maaofisa watano waliohamia katika mkoa...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Viongozi wa dini walalamikia vitendo vya rushwa Kasulu
VIONGOZI wa dini katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma wamewalalamikia baadhi ya watendaji wa Serikali wilayani hapo, mbele ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kuwa wamekithiri kwa vitendo vya rushwa, hali inayotishia haki ya wananchi wa wilaya hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Viongozi watakiwa kuitisha vikao
VIONGOZI wa vijiji, kata na wilaya, wametakiwa kuitisha vikao vya kisheria kwa wakati, ili kutoa taarifa ya hali ya mambo yanavyoendelea na hivyo kujenga imani na wananchi wanaowaongoza. Ushauri huo...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Viongozi watakiwa kutomlilia Mandela
10 years ago
Habarileo01 Aug
Viongozi wa Afrika watakiwa kushirikiana
VIONGOZI wa nchi za Afrika wametakiwa kudumisha ushirikiano baina ya nchi zao ili wafikie maendeleo na kutoiga tabia ya viongozi wa zamani ya kutothamini ushirikiano, kwa kuwa inadumaza maendeleo, licha ya nchi zao kuwa na uhuru.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wababaishaji watakiwa kujipima
9 years ago
Habarileo13 Oct
Viongozi wa dini watakiwa kuwakwepa wanasiasa
VIONGOZI wa dini wametakiwa kuwa wavumilivu na kuacha mabishano na wanasiasa ili kuepusha mvurugano unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha uchaguzi.