‘Vitambulisho vya Mzanzibari Mkazi havitolewi kisiasa’
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu, Haji Omar Kheir amesema si kweli kwamba vitambuliho vya Mzanzibari mkazi, vinatolewa kwa malengo ya kisiasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Mar
Wahimizwa kuchukua vitambulisho vya Mzanzibari
WAZANZIBARI wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchukua vitambulisho vya Mzanzibari mkazi ambavyo ni haki ya kila mwananchi mwenye umri wa kuanzia miaka 18.
10 years ago
Mtanzania12 May
Vitambulisho vya Mzanzibari vyazua balaa Pemba
Na Mwandishi Wetu, Pemba
HALI ya siasa visiwani Zanzibar imeanza kuwa tete baada ya wabunge na wawakilishi wa Chama cha Wananchi (CUF), kuwaongoza wananchi katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mkoani kisiwani Pemba waweze kupewa vitambulisho vya Mzanzibari mkaazi.
Hatua hiyo imechukuliwa baada ya tangazo lililotolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Hemed Suleiman Abdallah la kuwataka wabunge na wawakilishi kwenda kuwahamasisha wananchi wakachukue vitambulisho vyao.
Kutokana na hali hiyo Mbunge wa...
10 years ago
Mwananchi13 May
Vitambulisho vya Taifa vyalalamikiwa
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Vitambulisho vya kielektroniki kutumika TZ
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Adakwa na vitambulisho zaidi ya 40 vya kura
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Vitambulisho vya bima ni lulu- NHIF
Afisa wa Mfuko wa Taifa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Singida, Isaya Shekifu akiwahamasisha madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Singida, juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo ili kujihakikishia kupata matibabu hata wakati hawana fedha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WANACHAMA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoa wa Singida wameaswa kutunza vizuri vitambulisho vyao kwa madai kuwa vitambulisho hivyo ni sawa na kuwa na fedha taslimu.
Afisa wa Mfuko wa Taifa wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjMlrraIsoe4TThDbOG6qurh5qc4AtHMTm8AOn3br7mJ--1PIGDcUjNaBa2f3C8beYNFUGHsniUjv38OllwGmOs/IDNIGERIA.jpg)
NIGERIA YAZINDUA VITAMBULISHO VYA TAIFA
11 years ago
Habarileo20 Jun
Vitambulisho vya kura kutolewa upya
VITAMBULISHO vya kupiga kura nchini, vitatolewa upya kwa wananchi wote, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa kuboresha daftari la kudumu la wapigakura. Mchakato huo wa kutoa vitambulisho upya, utakaotekelezwa Septemba mwaka huu, utagharimu Sh bilioni 293 .
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Vitambulisho vya Uzanzibari vyazua sokomoko