Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM ILIVYONOGESHA TAMASHA LA MATUMAINI JIJINI DAR

Mmoja wa Mashabiki akiwa na furaha katika Tamasha la Usiku wa Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi.Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Ahmad Alli (maarufu) Madee akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa Tamasha la Usiku Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi.Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Roma Mkatoliki akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa Tamasha la Usiku wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VODACOM ILIVYONOGESHA TAMASHA LA MATUMAINI JUZI‏

Mmoja wa Mashabiki waliodhuria Usiku wa Tamasha la Matumaini akiwa mwenye furaha katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Amad Alli (maarufu) Madee akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa  Usiku wa Tamasha la Matumaini lililofanyika katika  Uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kuzaminiwa na Kampuni ya Vodacom Tanzania.  … ...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Vodacom ilivyonogesha tamasha la Matumaini Juzi

Mashabiki wa bondia, Mada Maugo wakimwagia maji baada ya mwanamasumbwi huyo kushinda pambano lake zidi ya bondia Thomas Mashari wakati wa Tamasha la Usiku wa Matumaini lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi Mmoja wa Mashabiki akiwa na furaha katika Tamasha la Usiku wa Matumaini lililodhaminiwa na […]

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA VODACOM BOMBASTIK LAFANA COCO BEACH, JIJINI DAR

Adamu Hamis akifanya makamuzi ya aina yake. Dj Dee Ommy na Dj PQ wakisababisha kwenye moja na mbili. Mashabiki…

 

11 years ago

GPL

SHANGWE ZA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 UWANJA WA TAIFA, DAR

Haya ni baadhi ya matukio katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Agosti 8, 2014.

 

10 years ago

Michuzi

ALLY KIBA KUANGUSHA BONGE YA SHOO DAR LIVE KATIKA TAMASHA LA MWANA CHINI YA VODACOM TANZANIA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ally Kiba(katikati)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na jinsi anavyojiandaa kuwapagawisha mashabiki wake katika Tamasha la Mwana Dar Live lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala jijini Dar es Salaam siku ya Pasaka.Wengine katika picha kushoto Msanii wa nyimbo za mchiriku Sueleman Jabiri”Msaga Sumu” na Kiongozi wa kikundi cha Warriors Damian Darada(kulia). Meneja Uhusiano wa...

 

5 years ago

Michuzi

VODACOM WAPANDA MITI HOSPITALI YA MLOGANZILA JIJINI DAR ES SALAAM


Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC Wakishiriki  zoezi la kupanda miti katika Hospitali ya Muhimbili eneo la Mloganzila jijini Dar es Salaam wakati walipotembelea katika hospitali hiyo kwa ajili ya kuwapa pole wagonjwa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.Meneja chapa na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC, Grace Kijo akipanda mti katika eneo la Hospitali ya Mloganzila jijini Dar es Salaam, wakati walipotembelea wagonjwa katika Hospitali hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR

Pazia la Tamasha la kwanza la Mavazi ya Heshima STARA limezinduliwa hivi "Stara Street Fashion"
Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe  13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia  la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua Humuma ya M-PAWA ya Vodacom jijini Dar leo

Mkurugenzi Mkuu wa VODACOM Tanzania Bwana Rene Meza akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam ambapo alizindua Huduma ya M-PAWA leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa Huduma ya kampuni ya simu ya VODACOM iitwayo M-PAWA itakayowawezesha watumiaji kutuma na kupokea pesa kwa urahisi zaidi na pia kupata mikopo ya pesa kwa matumizi mbalimbali.Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika katika ukumbi wa Mlimani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani