Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM YAKABIDHI BODABODA MOROGORO‏

Meneja wa Vodacom Tanzania,Manispaa ya Morogoro Kamanda Kasapila (kushoto) akihakikikisha kadi za pikipiki za washini wa bodaboda wanaoshuhudia kulia kabla ya kuwakabidhi washindi hao,waliojishindia katika promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na kampuni hiyo. Washindi wa nne wa Promosheni ya Timka na  Bodaboda kutoka wilaya mbali mbali za mkoa wa Morogoro'… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

19 WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM‏

Baadhi ya washindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Dar es Salaam,wakibadilishana mawazo na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(aliesimama kulia)mara baada ya kuwakabidhi washindi hao bodaboda zao,Jumla ya Bodaboda(230)zimekabidhiwa kwa washindi wa promosheni hiyo nchi nzima na Milioni 142.Ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Promosheni ya Timka na...

 

11 years ago

GPL

TANGA-SINGIDA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM‏

Meneja wa Vodacom Tanzania-Tanga Bw. Mussa Sultan(kushoto)akimkabidhi Pikipiki Agnes Kilango ambaye ni mmoja wa washindi wa mkoa huo katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Pikipiki wa Mkoa wa Singida katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Bw.Juma Abdallah,akiwa kwenye pikipiki yake mara baada ya kukabiodhiwa rasmi na...

 

10 years ago

GPL

VODACOM FOUNDATION YAKABIDHI MSAADA WA UMEME JUA KWA WAHANGA WA MVUA KAHAMA‏

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga (kulia) akipokea msaada wa Umeme Jua ”Solar Power”kwa niaba ya wahanga wa maafa ya mvua uliotolewa na Vodacom Foundation kutoka kwa Mkuu wa Vodacom kanda ya Tanganyika,George Venanty.  Mkuu wa Vodacom Tanzania,Kanda ya Tanganyika George Venanty(kushoto) na…

 

11 years ago

GPL

WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM IRINGA‏

Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Salome Kalinga(wanne toka kushoto)mkazi wa Iringa,akipokea funguo wa pikipiki yake aliyojishindia katika promosheni hiyo toka kwa Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa.Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544. Meneja… ...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya NBC yakabidhi bodaboda kwa mshindi wa Weka Upewe Karatu

Kaimu Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Karatu, Wende Lyimo (wa pili kulia) akikabidhi zawadi ya bodaboda kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya weka upewe, Mchungaji Christopher Kingo katika hafla iliyofanyika tawini hapo, Arusha hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni baadhi ya wateja wa benki hiyo na mfanyakazi wa benki hiyo, Kalist Masika (kulia).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Timka na Bodaboda Vodacom yabadili maisha ya wateja 600

“NI furaha kwa sababu tumetimiza azma yetu ya kubadili maisha ya Watanzania. Promosheni hii imewanufaisha takribani wateja  600 wakiwemo wa bodaboda na wa fedha taslimu zaidi ya  sh milioni 200.”...

 

11 years ago

Michuzi

WASHINDI WAENDELEA KUCHUKUA BODABODA ZAO KUTOKA VODACOM

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akifafanua jambo kwa mmoja wa washindi wa Bodaboda Amanzi Mohamed kutoka Bagamoyo wakati wa zeozi la washindi hao kuchukua bodaboda hizo Makao Makuu ya kampuni hiyo Jijini Dar es salaam.Washindi hao ni wa Promosheni ya Timka na Bodaboda iliyomalizika hivi karibuni. Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akifurahi na Mama Domotila Charles akikwaa bodaboda yake tayari kuiwasha na kuondoka nayo kutoka Makao Makuu ya...

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom Foundation yakabidhi msaada wa Umeme Jua kwa wahanga wa mvua Kahama

Mkuu wa Vodacom Tanzania,Kanda ya Tanganyika George Venanty(kushoto) na Meneja Masoko wa Kampuni ya Associate AEG Winnie Nyamubi(kulia) wakielezea matumizi ya Umeme Jua”Solar Power” wakati wakukabidhi msaada huo uliotolewa na Vodacom Foundation kwa wahanga wa maafa ya mvua kwenye kijiji cha mwakata wilayani Kahama Mkoani Shinyanga mwishoni mwa wiki.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga(kulia) akipokea msaada wa Umeme Jua ”Solar Power”kwa niaba ya wahanga wa maafa ya mvua uliotolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani