Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vumbi la ligi ndogo ya mikoa

Michuano midogo ya mashindano ya mikoa  imepangwa kuanza kutimua vumbi Februari 22 kwa timu ya Ilala kumenyana na Temeke kwenye Uwanja wa Karume, wakati Pwani itamenyana na Morogoro kwenye Uwanja wa Mabatini Mlandizi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO


Ferrao.  NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...

 

11 years ago

GPL

VUMBI LIGI KUU KUTIMKA WIKIENDI

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza kesho (Januari 25 mwaka huu) kwa mechi nne zitakazochezwa katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam na Tanga. Mabingwa watetezi Yanga watakuwa wageni wa Ashanti United kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati kwenye jiji hilo hilo Uwanja wa Azam Complex kutakuwa na mechi kati ya wenyeji Azam FC na Mtibwa Sugar kutoka Morogoro. Coastal Union na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu England kuanza kutimua vumbi

Mabingwa wa ligi kuu ya England, Chelsea wanatarajia kuivaa Arsenal katika mechi ya ufunguzi wa michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya mabingwa Ulaya kutimua vumbi leo

Ligi ya mabingwa wa Ulaya kwa msimu wa 2015-2016 kuanza leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya soka Somalia kutimua vumbi leo

Kuongezeka kwa hali ya utulivu mjini Mogadishu kumevutia kiasi cha wachezaji ishirini wa soka nchi nyingine za Kiafrika.

 

10 years ago

Mwananchi

Vumbi kila kona ligi kii 2015/2016

Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League) unatarajia kuanza mwezi ujao, ukitanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii baina ya Yanga na Azam utakaofungua pazia la ligi hiyo, Agosti 22.

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Billnass ft. TID – Ligi Ndogo

billnass

Msanii anayefanya kazi chini ya Radar Entertainment, Billnass ameachia video mpya ya wimbo wake uliotoka miezi kadhaa iliyopita – Ligi Ndogo, ambao pia amemshirikisha TID. Hii ni video yake ya tatu na imeongozwa na director aliyefanya vizuri mwaka huu 2015, Hanscana.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

5 years ago

CCM Blog

LIGI YA SOKA YA WANAWAKE NCHINI UINGEREZA KUANZA KUTIMUA VUMBI MEI 29

  Ligi ya soka ya wanawake nchini Ujerumani inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 29, lakini bila ya mashabiki. Shirikisho la soka la Ujerumani, DFB limetangaza hatua hiyo jana baada ya ligi hiyo kusimamishwa kwa takriban miezi mitatu kutokana na janga la virusi vya corona.
Ligi ya wanaume ilirejea wiki iliyopita, pia bila ya mashabiki uwanjani na chini ya vizuizi vikali vya kiafya vilivyotengenezwa kwa lengo la kupunguza kusambaa kwa maambukizi.

 Rais wa DFB Fritz Keller ameeleza kufurahishwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makundi Ligi ya Mabingwa Mikoa hadharani

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) 2013/14, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Mei 10 hadi Juni 2, ambapo mabingwa 27 wa mikoa hiyo wamegawanywa makundi matatu ya timu tisa kila moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani