Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WACHEZA NA JOKA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Simba joka la kibisa

MBIO za Ligi Kuu Tanzania bara, zimezidi kuwa chungu kwa Simba chini ya Kocha wake Mzambia, Patrick Phiri, baada ya jana kuvuna sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ngeni...

 

10 years ago

Mwananchi

Kama mnalitafuta joka basi huyu escrow ni yai tena moja tu!

Hatupaswi kufurahia kushughulika na matokeo bali uhodari wetu wa kuzuia mabalaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wacheza kamari ya Kombe, wachezwa

Wacheza kamari kutoka sehemu tofautii za dunia kwa simu na kwenye internet kuhusu Kombe la Kandana la Dunia, waliwa pesa zao Macau

 

10 years ago

Habarileo

Wanakijiji wacheza muziki kushangilia umeme

WAKAZI wa kijiji cha Mbegasera wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, wameshindwa kuzuia furaha yao na kuamua kusakata muziki baada ya umeme kufika kijijini hapo na wananchi kuunganishwa kwenye nyumba zao, ambazo walilazimika kuezua sehemu ya nyasi na kuezeka kwa bati ili kufungiwa nishati hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Wajasiriamali wacheza bao wapigwa jeki

MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amekichangia Sh 500,000 kikundi cha wajasiriamali wa Mlandege mjini Iringa kinachoundwa na wacheza bao 154.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafuasi CUF wacheza ‘sinema’ mahakamani

Ilikuwa kama sinema wakati wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaokabiliwa na kesi ya kufanya maandamano na mikusanyiko isiyo halali, wakitimua mbio mahakamani baada ya kufutiwa mashtaka kwa muda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wacheza tenisi walemavu kuchuana Kenya

Wachezaji wawili wa Tanzania wa mchezo wa tenisi kwa wenye ulemavu (Wheelchair tennis) wanaelekea Kenya kuchuana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wacheza shere Katiba mpya

VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba lisitishe shughuli zake, limezidi kushamiri baada ya baadhi ya wajumbe kuanza maandalizi ya kuandika barua kwa Rais Jakaya Kikwete, wakimwomba alisitishe kwa madai...

 

11 years ago

Habarileo

Wacheza bao Mlandege wapewa 100,000/-

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Iringa Mjini, Mahamudu Madenge ametoa mchango wa Sh 100,000 kwa kikundi cha wacheza bao wa Mlandege. Kikundi hicho chenye wanachama 154, kina Sh 264,000 benki. Fedha hiyo inatokana na mchango wa Sh 1,000 unaotolewa kwa mwezi na kila mwanachama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani